Mkeo akishangilia unavyopigwa utafanyaje?

Ketoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
1,117
Reaction score
1,966
Mwanamume mmoja nchini Kenya ameshushiwa kipigo na majirani huku mke wake wa ndoa akishangilia

Mwanaume huyo ambaye alikuwa amelewa alianza kumbugudhi mke wake kwa matusi na kelele ambapo majirani waliamua kuingilia kati na kuanza kumpa vichapo vikali ambapo mke wake alishindwa kuvumilia kukaa kimya na kuanza kuangua vicheko vya furaha kwa kichapo ambacho mume wake alikuwa anapewa na majirani hao
 
Niliwahi kugombana na wife kwa hasira akanipeleka kituo cha polisi eti afande atusuluhishe,basi afande akasikiliza nilichomtenda wife.
Akakasirika na kuanza kunipiga na kirungu,wife kuona vile akamrukia afande ili aniache, ilikuwa patashika,yaan kwa mbaaali nikatambua my wife ananipenda
Ishu ikawa hivo yaan tulivyorudi home hakuna aliyemkumbushia mwenzake na toka siku hiyo mapenzi yakawa maradufu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mke usimuache hahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…