Hahahah hio ni Lust 🤣 sio loveRahisi sana. siku ya kwanza kukutana nae.. kama ukipatwa tu na nyege au matamanio yoyote ya kingono.. ujue huyo sio ila tamaa tu zimewakutanisha za kupigana pipe..
Basi the best part ni hapo pa kuombwa msamaha na kubembelezwa raha sana acha tuu.....sasa mwanaume mpole umekosea wewe anaomba msamaha yeye lini mtapiga game ya kibabe maana hamtakaa mkasirikiane kamweUzuri nikikoroma hasira ikiisha nakuomba msamaha na kukubembeleza tena.
Halafu nimejifunza mkitofautiana, mkaombana msamaha...mkimalizia na mechi za kirafiki ni tamu haina mfano[emoji23]
Kwanza swali hilo usiulize kwa mtu kama mimi maana ntakuona mtoto automatically. 😀😃😃😃,,,itabidi niache 🤣🤣🤣🙈
Tutakupa Mandonga mtu kazi 🤣Asiwe mkali sana ila angalau anakuwa na kaukorofi fulani...mimi mpole sana hapana kwanza nitamuonea bure maana mimi ni mkali atlist nipate tunayematch.
Kwa njaa za Iphone, shopping na kuvimba na mitoko huko snapchat na insta ni ngumu sana kufanikiwa kwa njia hii 🤣🤣🤣Umesema jambo kubwa sana
Natamani kila mtu angekuwa namtazamo huu matukio ya ukatili, usaliti yasingekuwepo Upendo ungeongoza kila kitu na Amani ingetawala
Be blessed kwa somo hili🙏
Kwa style hio huyo demu atakuendesha kama vitololi vya Mlimani City 🤣!Ndo naingia mm kwenye mapenz lakin mm nimempenda tu bila sababu
View attachment 2667496
Kama ni goigoi na bado anakupenda hivyo hivyo she a keeper. Kamatia humo humo.Mwanamke akupende ukiwa kapuku huyo unahisi utampa nini zaidi ya kumrudshia upendo aliokupa mara mbili?
ana stahili upendo wangu maana kwa ufukara huu,ukapuku huu,ugoi goi huu na bado alinipenda,asee alijitoa muhanga.
Hahahah mbinu ya ki Wagner kabisa hii🤣eeh! uwe unakuja na Pm nakupa madini 😅😅
Unamchezea mkuu wa wilaya shere au sio 🤣Nampendea swagger zake tu chalii ya R chuga na ile show yake tuliyopiga first time ya “Wagombanao ndio wapatanao” ndio kazidi kunivuruga [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Halafu sio bahili kabisaa upande wa faranga[emoji39]
Na km huamini subiri afike uone nitakavyooga pesaa si eti baby Countrywide
[emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
unataka asemeje kwa mfano??Ni vizuri...mimi mtu tukiwa tu kwenye zile stage za kuaprochiana nikimuuliza amenipendea nini akaanza kujieleza sijui hiki mara hiki namuacha najua hanipendi ni tamaa tu
Hahahaaa kwa mandonga hunitakii mema, nitakuwa napigwa kila siku aisee.Tutakupa Mandonga mtu kazi [emoji1787]
kumbe DC MTAMUUNampendea swagger zake tu chalii ya R chuga na ile show yake tuliyopiga first time ya “Wagombanao ndio wapatanao” ndio kazidi kunivuruga [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Halafu sio bahili kabisaa upande wa faranga[emoji39]
Na km huamini subiri afike uone nitakavyooga pesaa si eti baby Countrywide
[emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahaaa kuuumbeeNi vizuri...mimi mtu tukiwa tu kwenye zile stage za kuaprochiana nikimuuliza amenipendea nini akaanza kujieleza sijui hiki mara hiki namuacha najua hanipendi ni tamaa tu
Pesa na venye ni gentleman
Mkipigana chini pia msisahau kusabskraibu humu😎😎😎Maua nimeyapokea na kuyanusa. Cute wife is a real deal, very intelligent and down to earth
Hata piemu umefunga.Si hunijali 😂