Mkeo au mpenzi wako unampendea nini?

Mkeo au mpenzi wako unampendea nini?

Sasa mwanaume utampendea nini zaidi ya hela jamani😊
Wewe ni malaya tu maana malaya tu ndio wenye sifa hizo maana yake siku akikosa hela hakuna upendo kwa maana hiyo wewe humpendi yeye ila unapenda pesa na akija mwenye pesa zaid unahamisha mapenz sasa hapo kuna mtu au kikoba
 
Kwangu mimi hakuna zaidi ya kelele zake akiwa mbali basi namis yale makelel lakin natafuta sababu nimuache
🤣🤣🤣 Nicheke tu! Wakwangu bwana hana sura kiviile, ni local wife wakawaida tu, hana mambo mengi though ni msafi sana na anakinyaa sana tako lipo ila sio lile la kusimamisha watu,

ila aisee mwanamke ana uchi mtamu huyu sijapata ona! Kanizalia watoto watatu lakini daah! Kiukweli hadi huwa najiuliza uchi wake una kitu gani humo ndani , hahahaaa!

Yaani kuna wakati nateleza natomb* nje lakini hadi huwa najiuliza hivi nimefata nini huku.
 
nilitaka nionje na nipite ana ladha tamu sana huyu mtu
Aisee kuna wanawake yaani sijui mungu kawawekea kitu gani huko chini yaani uchi unaupata vizuri kweli na nahisi niwachache sana hawa ☺️☺️

maana Nime ruka ruka huko na nime onja onja K kiasi chake ila bwana ,ule usemi wao eti unabadili bucha nyama ni ile ile naukataa kwa kishindo .
 
Back
Top Bottom