Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sii ndio unazompendea andunjeJaman hela ni zake sio zangu 😂😂
Anatafunwa tuuNa yeye anaruhusiwa kutafunwa nje kwa kuvizia mkuu?!
Silalagi na nguo mimi[emoji125]Unajilosesha mengi, hutakiwi kuogopa..zama ulale bila nguo!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiwooooo na salamu za mama mkwe lazima zipelekwe Uduguu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahaha...Dah!Mimi bila kumung’unnya maneno nimempendea hela.
Wewe ni malaya tu maana malaya tu ndio wenye sifa hizo maana yake siku akikosa hela hakuna upendo kwa maana hiyo wewe humpendi yeye ila unapenda pesa na akija mwenye pesa zaid unahamisha mapenz sasa hapo kuna mtu au kikobaSasa mwanaume utampendea nini zaidi ya hela jamani😊
Ulianza kuipenda nanihii kabla yakeUkorofi wake ni muhuni fulani hivi amaizing....ila kiukweli kabisa nimempendea nanihii tuu
romantic kwa bed daaah kanijua kunikamataKwangu mimi hakuna zaidi ya kelele zake akiwa mbali basi namis yale makelel lakin natafuta sababu nimuache
🤣🤣🤣 Nicheke tu! Wakwangu bwana hana sura kiviile, ni local wife wakawaida tu, hana mambo mengi though ni msafi sana na anakinyaa sana tako lipo ila sio lile la kusimamisha watu,Kwangu mimi hakuna zaidi ya kelele zake akiwa mbali basi namis yale makelel lakin natafuta sababu nimuache
Aisee kuna wanawake yaani sijui mungu kawawekea kitu gani huko chini yaani uchi unaupata vizuri kweli na nahisi niwachache sana hawa ☺️☺️nilitaka nionje na nipite ana ladha tamu sana huyu mtu
Nanihii yake ndio ikanifanya nimpende na yeye sana....ilitangulia kablaUlianza kuipenda nanihii kabla yake
Hahahahahah dust n dusted🤣Mimi bila kumung’unnya maneno nimempendea hela.
Nimempendea akili zake za maisha na kupenda maendeleo. Vinginevyo ni vya kawaida tu kwa mtoto wa kike.Kwangu mimi hakuna zaidi ya kelele zake akiwa mbali basi namis yale makelel lakin natafuta sababu nimuache
Asiwe mkali sana ila angalau anakuwa na kaukorofi fulani...mimi mpole sana hapana kwanza nitamuonea bure maana mimi ni mkali atlist nipate tunayematch.Tuko tofauti, mie mwanaume mkali hatupatani kabisa. Ni bonge la turn off.
Utakosa vingi, wengine ni waongeaji tu. 🤣Ni vizuri...mimi mtu tukiwa tu kwenye zile stage za kuaprochiana nikimuuliza amenipendea nini akaanza kujieleza sijui hiki mara hiki namuacha najua hanipendi ni tamaa tu
😃😃😃,,,itabidi niache 🤣🤣🤣🙈Utakosa vingi, wengine ni waongeaji tu. 🤣