Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kama ushamla endelea kumtafuna hata mara 5 kisha njoo nikupe maelekezoTiar ila mara Moja tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ushamla endelea kumtafuna hata mara 5 kisha njoo nikupe maelekezoTiar ila mara Moja tu
Hahahah mbinu ya ki Wagner kabisa hii🤣
Acha tu udugu ! Ni Noumaaa nanusuuuuu!
Crush wako alikuwa Hapa[emoji1787][emoji23]
Oya acha hizo basi[emoji1787]
Naomba uniache, sitaki Vita na watu🤣😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtaalamu wa mbolea za ruzuku🤣🤣Oya acha hizo basi🤣
Miss you more kipenzi wale niliwapuuzia tu udugu akee!!Nimekumiss, vipi wale wanoko ulimalizana nao?
Na Mimi huja nimiss😪😪Miss you more kipenzi niliwapuuzia tu udugu akee!!
😏😏😏😏😏😏!Na Mimi huja nimiss😪😪
Aiwee kunywa Pepsi ya Baridi kwa Mangi nakuja kulipa...Rahisi sana. siku ya kwanza kukutana nae.. kama ukipatwa tu na nyege au matamanio yoyote ya kingono.. ujue huyo sio ila tamaa tu zimewakutanisha za kupigana pipe..
[emoji123][emoji120].. watu wenti huwa wanaichulia easy hiyo njia .. ila ina matunda chanya sana tu. Upendo wowote wa kweli una cancel lust, na unaleta joy, unajikuta mtu kukaa nae unasikia amani ya ndani na furaha.. bila aina yoyote ya kiu ya mwili..
Be Blessed kwa maneno haya[emoji120].. watu wenti huwa wanaichulia easy hiyo njia .. ila ina matunda chanya sana tu. Upendo wowote wa kweli una cancel lust, na unaleta joy, unajikuta mtu kukaa nae unasikia amani ya ndani na furaha.. bila aina yoyote ya kiu ya mwili..
Miss you more kipenzi wale niliwapuuzia tu udugu akee!!
Naomba uniache, sitaki Vita na watu[emoji1787][emoji23]
Anisikilize NINA HOJA.Kila ulipo bichwa hakosekani hebu msikilize [emoji16]
Kuwa makini sana
Ushauri wangu kwako kama kijana mwenzangu, Hakikisha mwanamke anakupenda yeye zaidi ya wewe unavyo mpenda wewe hii itasaidia kukuondolea hofu ya kumpoteza au hofu ya kuwa mbali naye. Hii principle itakusaidia sana mbeleni
Una nongwa sana we mzee, lakini tatizo lako sio handsome kama ExtrovertMtaalamu wa mbolea za ruzuku[emoji1787][emoji1787]