Dadakidoti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2024
- 399
- 1,409
SALAAM
Mada yahusika hapo juu.
Jana kulikuwepo mkesha ulioandaliwa na huduma ya Arise and Shine chini ya Mtumishi Mwamposa.
Nilikuwa nikufuatilia matukio nikiwa nyumbani kupitia TV. Kilichonichosha na kunitoa kwenye reli kabisa ni pale mkuu wa mkoa alipopewa nafasi ya kusalimia waaumini.
Alinichosha zaidi aliposema kuwa huwa anamkumbuka dada wa Bukoba akimaanisha Saida Karoli aliposema anapenda wimbo wake wa mwenye wivu ajinyonge. na kuanza kuimba wimbo huo.
Nimejiuliza maswali mengine:
1. Kwanini mtu Mkubwa na cheo chake aongee vitu kama hivyo?
2. Je, madhabahuni si mahali pa watu kuponya nafsi zao? inakuwaje unaongea vitu kama vya kupiga majungu?
3. Aliwaza watu watalipokeaje?
4. Hakuwa na kitu cha kuongea si angekaa kimya?
Muwe na siku njema niliyemkosea anisamehe.
Mada yahusika hapo juu.
Jana kulikuwepo mkesha ulioandaliwa na huduma ya Arise and Shine chini ya Mtumishi Mwamposa.
Nilikuwa nikufuatilia matukio nikiwa nyumbani kupitia TV. Kilichonichosha na kunitoa kwenye reli kabisa ni pale mkuu wa mkoa alipopewa nafasi ya kusalimia waaumini.
Alinichosha zaidi aliposema kuwa huwa anamkumbuka dada wa Bukoba akimaanisha Saida Karoli aliposema anapenda wimbo wake wa mwenye wivu ajinyonge. na kuanza kuimba wimbo huo.
Nimejiuliza maswali mengine:
1. Kwanini mtu Mkubwa na cheo chake aongee vitu kama hivyo?
2. Je, madhabahuni si mahali pa watu kuponya nafsi zao? inakuwaje unaongea vitu kama vya kupiga majungu?
3. Aliwaza watu watalipokeaje?
4. Hakuwa na kitu cha kuongea si angekaa kimya?
Muwe na siku njema niliyemkosea anisamehe.