Mkewe Lowassa analia

huyu ndo actress na mumewe ndo actor mwenyewe...yaani ndo mr n mrs smith kama unawajua brad pitt na angelina jolie...kwanza mumewe amejiuzulu ili wasiendelee kuchimba zaidi kwani jamaa ana mambo ya kifisadi kibao...

Exactly my sentiments, unfortunately Lowassa ataendelea kuchukua fungu mpaka kesho na hamna lolote litakalofanyika.Na ataendelea kuwa influential under the radar kama mbunge wa Monduli.

Just the sad truth.
 

Izihaka hizo taarifa ni za kweli? wacha masihala basi ndugu yangu huyuhuyu mkuu wa wilaya ya Korogwe ambaye ni mke wa kocha wa mpira? aliyekuwa mtangazaji wa Ipipi na kupewa tunzo! Kumbe ndio maana akaukwaa ukuu wa wilaya! Kumbeeeeee!!!!!!!! teh teh naye si fisadi kweli? au alikuwa anazipokea tu...... kumbe sasa watakaolia ni wengi sana si yeye wa ndani tu. Pole mama Lowasa ila ukitembea na Fisadi nawe ni fisadi. Sasa ndio mtaelewa kuwa wadanganyika ni noma watawavua mpaka Hayo mabazeee. EEEhh kuna ile Leopard tour ya Arusha nayo nasikia ni yake>>>>>
 

hayo ni ya kweli tupu na sio hao tu kuna kina Happiness wa Multichoice wote hao wanalia sasa,ndugu yangu jamaa alikuwa fisadi mpaka katika mapenzi kwani amekula mpaka visivyolika wakisaidiana na mkewe...kama wana kale kaugonjwa mbona kazi ipo!!!Ndesa na Ole Sendeka walijua kwanini anyongwe!!
 
Mama alikuwa anawanyanyasa sana mabodyguard wake na pia amedekeza watoto sana,watoto wanasikilizwa ile too much,kale kadogo kamwisho ndio kabisaa kalikuwa hata kusaliamia kameacha kwa vile baba amekuwa king.Yaani familia yote marafiki zake ni mafisadi.Close friends wa familia ya lowassa ni akina Rostam,Severe,na huyu Olenaiko hebu niambie kuna kupona hapo??????Severe mtoto wake amemchumbia mtoto wa Lowassa huyu Dr.Ada aliyemaliza udr wake muhimbili juzijuzi. KUNA ULE MSEMO UNAOSEMA UKITAKA KUNIJUA TAZAMA MARAFIKI ZANGU............
 
Mwacheni alie sana hata akitoa mchozi wa damu hawezi kubadili mawazo yetu.Ile familia ni ya kifsadi tu .na hayo mwalimu aliyajua mapema.wafilisiwe mapema sana wasituchezee hao mafisidi
 
Mwacheni alie sana hata akitoa mchozi wa damu hawezi kubadili mawazo yetu.Ile familia ni ya kifsadi tu .na hayo mwalimu aliyajua mapema.wafilisiwe mapema sana wasituchezee hao mafisidi



Tatizo nikwamba hawatafanywa kitu chochote, huko kujiuzulu ni kubabaisha watu tu, kwani Richmond bado wanalipwa kila siku dola karibu 50 elfu, we unafikiri mchezo huo? Raisi wako mwenyewe yumo humo ndani kwa kivulini style, ndio maana EL ata-keep hela zake na mikataba itawanyonga watanzania mpaka nchi yote igeuke war zone!
 

Sure!
Mi ninavyoona hawa watu wana mpango wa kufanya huyu EL & Company waendelee kufanya mambo yao underground!!
Ingefaa huyu mkuu wa kaya afanye maamuzi kulingana na mapendekezo ya Tume na iwafilisi hawa jamaa kwa sababu wao ndio waliochangia hali ngumu ya maisha ya watanzania.... Lowassa arudishe mali zote alizozipata kupitia ufisadi na pia Karamagi, Msabaha, na Rostam!

Hapa inabidi tukomae maana huu mchezo unaokuja baada ya hii new cabinet ni mbaya sana!!!!

Utashangaa Regina anacheka.....too bad
 


Mmmmh...
 
mwaka 1998 Birthday ya Fred Lowassa akamkabidhi american express card yenye salio la dola 40 elfu ndani.alisema mwenyewe mzee akitoa speech,labda kama aliongopa
 
Lowasa kweli noma! kapiga sana hela
 


Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…