huyu ndo actress na mumewe ndo actor mwenyewe...yaani ndo mr n mrs smith kama unawajua brad pitt na angelina jolie...kwanza mumewe amejiuzulu ili wasiendelee kuchimba zaidi kwani jamaa ana mambo ya kifisadi kibao...
Mama huoni aibu,mapesa yote uliyokuwa unahonga vijana ili wakustareheshe huyakumbuki!!??Shetwaini wa kike usiye hata na chembe ya aibu kwa mwenyeziMungu!Inasikitisha sana kuona hata mke wa Lowassa alikuwa typical fisadi...tena walikuwa wanasaidiana na EL kufisadi hadi mapenzi.China iko wapi jamani hawatakiwi kupewa hata maji ya kunywa nchi hii.Starehe zao na watoto wao zimetufikisha huku. Jamani Alphatel yake,Alpha Dry Cleaners yake,Apartments Arusha zake,Rich-Monduli yake, Bettty Mkwasa wake,HAkimu wa Arusha wake,Secrtary wa AICC wake, EPA yumo, Dowans yumo, beach zote kauza yeye,Viwanja vya wazi kauza yeye,Kiwanja cha mecco kwa kakobe kauza yeye, maji bongo kauza yeye...na mengi mengine ni aibu kwani alikuwa akichukua hata rushwa ya extra duty (10,000) pale wizarani. HAWAFAI KUWA WATANZANIA HAWA!!ROSTAM AZIZ YUKO WAPI??
Izihaka hizo taarifa ni za kweli? wacha masihala basi ndugu yangu huyuhuyu mkuu wa wilaya ya Korogwe ambaye ni mke wa kocha wa mpira? aliyekuwa mtangazaji wa Ipipi na kupewa tunzo! Kumbe ndio maana akaukwaa ukuu wa wilaya! Kumbeeeeee!!!!!!!! teh teh naye si fisadi kweli? au alikuwa anazipokea tu...... kumbe sasa watakaolia ni wengi sana si yeye wa ndani tu. Pole mama Lowasa ila ukitembea na Fisadi nawe ni fisadi. Sasa ndio mtaelewa kuwa wadanganyika ni noma watawavua mpaka Hayo mabazeee. EEEhh kuna ile Leopard tour ya Arusha nayo nasikia ni yake>>>>>
Mwacheni alie sana hata akitoa mchozi wa damu hawezi kubadili mawazo yetu.Ile familia ni ya kifsadi tu .na hayo mwalimu aliyajua mapema.wafilisiwe mapema sana wasituchezee hao mafisidi
Tatizo nikwamba hawatafanywa kitu chochote, huko kujiuzulu ni kubabaisha watu tu, kwani Richmond bado wanalipwa kila siku dola karibu 50 elfu, we unafikiri mchezo huo? Raisi wako mwenyewe yumo humo ndani kwa kivulini style, ndio maana EL ata-keep hela zake na mikataba itawanyonga watanzania mpaka nchi yote igeuke war zone!
Mama huoni aibu,mapesa yote uliyokuwa unahonga vijana ili wakustareheshe huyakumbuki!!??Shetwaini wa kike usiye hata na chembe ya aibu kwa mwenyeziMungu!Inasikitisha sana kuona hata mke wa Lowassa alikuwa typical fisadi...tena walikuwa wanasaidiana na EL kufisadi hadi mapenzi.China iko wapi jamani hawatakiwi kupewa hata maji ya kunywa nchi hii.Starehe zao na watoto wao zimetufikisha huku. Jamani Alphatel yake,Alpha Dry Cleaners yake,Apartments Arusha zake,Rich-Monduli yake, Bettty Mkwasa wake,HAkimu wa Arusha wake,Secrtary wa AICC wake, EPA yumo, Dowans yumo, beach zote kauza yeye,Viwanja vya wazi kauza yeye,Kiwanja cha mecco kwa kakobe kauza yeye, maji bongo kauza yeye...na mengi mengine ni aibu kwani alikuwa akichukua hata rushwa ya extra duty (10,000) pale wizarani. HAWAFAI KUWA WATANZANIA HAWA!!ROSTAM AZIZ YUKO WAPI??
Kuna mtu ana ile video ya Lowassa wakati anatangaza kujizulu? maana alikuwa na jazba sana...!!!
Ni kweli inauma sana pale mpendwa wako anapochambuliwa kama karanga tena mbele ya nchi nzima (live),lakini pia kwa nini watu wakipewa madaraka wanakuwa na kiburi na ubabe na kuwanyanyasa watu waliowaweka pele??Hata wananchi wana uchungu sana wakifikiria bei za umeme,maisha kwa ujumla yako juu sana.
Kwako Fredi Lowassa wewe nakufahamu huna majivuno lakini wewe ndio uliyeshikilia biashara za familia na juzi tu umenunua lijumba la kifalme...uwe makini sana manake watu wana hasira sana.
Kwako Pamella wewe najua ndio second born wa Lowassa na Regina,na umeolewa na Sioi sumari mtoto wa Sumari ambaye alikuwa naibu waziri wa vijana kabla bunge halijavunjwa,na kikazi uko BOT,Bosi wako ni Gloria Maganga ambaye naye ni FISADI hapo BOT.
Pamella wewe unajisikia sana kama uko mbnguni na ulianza kuwadharau hata marafiki zako wa karibu eti mtoto wa PM MUNGU HADHIHAKIWA HATA SIKU MOJA......Pamella nakumbuka una wapambe wengi sana waliokuwa wanakutetemekea,Unakumbuka wale wadada unaosali nao ambao mna group ambayo eti ni ya sala kumbe ni ubishooo.Je akina ENDESH NGALESON,PRISCA TALAWA na wegineo wataendelea kukubabaikia kama ulivyokuwa unataka?????Mungu amewaonyesha kuwa duniani kila kitu kinapitaaaa.
Kwako Ada na wadogo zako baba yenu alikuwa mwizi sana hapa tanzania muachieni ashughulikiwe ili na nyie muje kukua na maadili mazuri.poleni sana ...,
🙂Aisee