vipi tena na wewe ndiyo wakili wao wa hiari nini??
hapana wa kulipwa swali jingine?
Hata kama mnadai kabebwa ......fine je kipindi anapiga degree na kozi nyingine alibebwa pia? kuna watu wengine hawabebeki hata kwa reki
Nice legs Arafa:whoo:
hongera sana, naona unaifanya kazi yako vizuri sana!!
teh teh teh!!!poa mkuu!!Thanks a lot for complement nahisi wameona hii comment waniongezee mshahara hichi ni kipindi cha salary review
Rex attorneys were defending tanesco on dowans case...hongera Arafa, Rex is a good law firmShame on us. Arapha ni mpiganaji kwenye maswala ya kitabu tumesoma nae darasa moja. Shes hardwaorking. Sijui mnachana nn dada wa watu. Sometimes tuweke majungu pembeni na chuki binafsi hasa tunapojadili mada kama hizi. Yuko Rex Artony na ni mchapakazi mzuri.
Shame on us. Arapha ni mpiganaji kwenye maswala ya kitabu tumesoma nae darasa moja. Shes hardwaorking. Sijui mnachana nn dada wa watu. Sometimes tuweke majungu pembeni na chuki binafsi hasa tunapojadili mada kama hizi. Yuko Rex Artony na ni mchapakazi mzuri.
Hahahahatanzania eee nchi yao eee hatukuupendi eeeee:...................................................
Maji hufuata mkondo,baba anapewa shahada za heshima ili awe sawa na kina slaa!!!Kapige shule sio upewe.ona sasa alipewa rz1 sasa mkewe kesho,faraja mtondogoo huyo mjukuu.wengine mbona wanasotea mwaka wa sita sasa!!!Hao wamepata shahada juzi tu hata uzoefu hawana leo mawakili!duh
Hongera sana Arafa
Acha wivu usio na msingi,wewe nawe soma ingia politics kua prezzo ili mwanao awe kama RZ1,stop shitin on your bed