Mkewe RZ1 alipopata uwakili

Mkewe RZ1 alipopata uwakili

this is too much jaman,cant she make it on her own?au kuolewa ukoo huo ndo iwe tatizo...........hongera mwaya,kwa mumewe nakubali coz namjua kielimu pale kwenye milima yetu.....
 
Shame on us. Arapha ni mpiganaji kwenye maswala ya kitabu tumesoma nae darasa moja. Shes hardwaorking. Sijui mnachana nn dada wa watu. Sometimes tuweke majungu pembeni na chuki binafsi hasa tunapojadili mada kama hizi. Yuko Rex Artony na ni mchapakazi mzuri.
Rex attorneys were defending tanesco on dowans case...hongera Arafa, Rex is a good law firm
 
Shame on us. Arapha ni mpiganaji kwenye maswala ya kitabu tumesoma nae darasa moja. Shes hardwaorking. Sijui mnachana nn dada wa watu. Sometimes tuweke majungu pembeni na chuki binafsi hasa tunapojadili mada kama hizi. Yuko Rex Artony na ni mchapakazi mzuri.

atumie uwakili/uanasheria wake kutetea maslahi ya nchi na si kupapatikia mali (baadhi ya mali ambazo nasikia zinapatikana isivyo halali)!!.
 
Ndio yale ya samaki 1 akioza..... Kama ameupata kwa kichwa chake apongezwe jamani...!!!
 
Maji hufuata mkondo,baba anapewa shahada za heshima ili awe sawa na kina slaa!!!Kapige shule sio upewe.ona sasa alipewa rz1 sasa mkewe kesho,faraja mtondogoo huyo mjukuu.wengine mbona wanasotea mwaka wa sita sasa!!!Hao wamepata shahada juzi tu hata uzoefu hawana leo mawakili!duh



Ni juhudi binafsi siyo miaka uliyokaa baada ya kumaliza chuo. kama ilivyo kwa wengine ni ma CE0 na Ma MD japo wamemaliza chuo hivi karibuni.
 
Huyu binti ni mchapa kazi na amejitahidi sana hadi kufikia hapo ila hiyo kibande ingine ya viherehere mmhh!:help::help:
 
Back
Top Bottom