Mkiachana na mwanamke hakuna mgao wa mali. Anatakiwa aondoke na begi lake la nguo

Unayajua mapenzi wewe?mkioana tu hakuna mtu anafikiri hayo utasikia baby andika tu Jina lako na hela imetoka kwenye 10% ya michango ya harusi.

Siyajui mapenzi mkuu
Ni wewe unayeyajua ambaye upo ndani ya ndoa,unajua kila kitu
 
Siyajui mapenzi mkuu
Ni wewe unayeyajua ambaye upo ndani ya ndoa,unajua kila kitu
Mimi ndoa yangu ilikufa Ndio maana nakuambia hayo.

Nimeyaishi sio kwa kusimuliwa

Akili inakuja mnapokaa mezani sheria inawaongoza sio mapenzi tena.
 
Achen mambo yaende kama yalivo mwanaume atakula Kwa jasho mke atazaa Kwa uchungu ulivonioa kazi yangu nikukusaidia kazi za nyumban na kukuzalia watoto ulitaka na mim nikafanye kazi halafu azae nan na alee nan? Bas at the end lazima nipate ujira wangu eeh pasu Kwa pasu ubaya au uzur mkizaa watoto wakiwa bado wadogo wanakua chin ya mama Ivo bas mke atamiliki nyumba[emoji3][emoji3] Raha sana
 
Kila mtu ale kilicho halali yake.
 
Uislamu umeelekeza endapo utamuacha mke wako basi mpe jpo kitoka nyumba akaanzie maisha huko anapokwenda lkn sio mambo hya ya pasu kwa pasu

Qur'an ipo mbele ya muda kwa kila kitu
Iliwekwa hiyo kwa sbabau ya tabia za kuoa na kuacha mnavyotaka kwa kuendekeza tamaa za uzinzi
 
Kama mali zilipatikana mkiwa wote mgawane
Kama alikukuta nazo aende na mabegi yake(kama hata mabegi ni yake)

Yeah, kabisa....
Jasho la mwenzio hakuna kulitolea macho.

Wale tunaoolewa ili tukavunje ndoa na kugawana Mali hakika imekula kwetu...hapa ndo itajulikana sasa,kama kweli wanawake tunapenda kuolewa au tunapenda Mali🥴🥱
Inapendeza kuona mnaunga mkono hili.
 
Kuna sheria za Marekani za ajabu imagine uki mdivorce mke wako mgao wa mali pasu pasu . Trump amependekeza kuifuta hiyo sheria ametuwakilisha vyema wanaume. Mwanamke anatakiwa aondoke na begi lake la nguo tu
Hii ni Ubunifu wa Rais Trump,hatua hii inaenda kupunguza "wimbi wa kuvunjika kwa ndoa au wanawake kuomba talaka kiholela"
 
Iliwekwa hiyo kwa sbabau ya tabia za kuoa na kuacha mnavyotaka kwa kuendekeza tamaa za uzinzi
Kijana acha dharau hili la kwanza

Hlf nambie nani alokua hazini kati ya mkristo na Muislam?

Ivi unajua kule makanisani mwenu ni pachafu sana kwa dhambi ya uzinzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…