Mkiambiwa Ikulu siyo kwa Kukimbilia muwe mnaelewa sawa?

Mkiambiwa Ikulu siyo kwa Kukimbilia muwe mnaelewa sawa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ruto niliyemuona akiwa na Mikogo yote Siku anaapishwa kuwa Rais wa Kenya na huyu Ruto ( Rais ) wa Kenya ninayemuona leo ni Watu wawili tofauti.

Ruto ( Rais wa Kenya ) wa sasa ukimtizama hata tu Usoni utagundua kuwa ameshaanza kupaona Ikulu ni Pagumu, ana Sura ya Kutia Huruma na huenda hata Kimoyomoyo anajutia kwanini aligombea Urais Wenyewe.

Ndiyo maana Siku zote Watu ( Wanadamu ) Werevu ( Intelligent ) huwa hawapendi Kujihusisha na Siasa ( tena hizi Mbovu na za Visasi pamoja na Chuki, ila ile 'Mipopoma' pekee ndiyo hupenda Madaraka na Tamaa ya Pesa, ili waje Kututambia Vijiweni Kwetu.
 
Mkuu ikulu ya kenya imejaa mamluki wengi,mzee lazma apagawe
Namuonea mno Huruma kwani Kazungukwa na Mafia Watupu Kitu ambacho ni Hatari Kwake ( hasa Kiusalama na Kiulinzi ) na ukizingatia hata Kifo cha Kutatanisha cha Mwanasheria Mahiri na Mashuhuri hivi Majuzi anbaye pia Swahiba ( Rafiki yake ) Rais Ruto.
 
Ruto niliyemuona akiwa na Mikogo yote Siku anaapishwa kuwa Rais wa Kenya na huyu Ruto ( Rais ) wa Kenya ninayemuona leo ni Watu wawili tofauti.

Ruto ( Rais wa Kenya ) wa sasa ukimtizama hata tu Usoni utagundua kuwa ameshaanza kupaona Ikulu ni Pagumu, ana Sura ya Kutia Huruma na huenda hata Kimoyomoyo anajutia kwanini aligombea Urais Wenyewe.

Ndiyo maana Siku zote Watu ( Wanadamu ) Werevu ( Intelligent ) huwa hawapendi Kujihusisha na Siasa ( tena hizi Mbovu na za Visasi pamoja na Chuki, ila ile 'Mipopoma' pekee ndiyo hupenda Madaraka na Tamaa ya Pesa, ili waje Kututambia Vijiweni Kwetu.
Kenya ni ngumu mnoo kuiongoza.
1. Mijitu mifisadi kupitiliza
2. Majitu mi mafia sana
3. Hawapendi kuburuzwa
 
"If i fail it doesn't mean it was impossible to win" ernesto che guevara ishi humo
ead9c3c9bbe42c51186ee32291bee4f6.jpg
 
Ruto niliyemuona akiwa na Mikogo yote Siku anaapishwa kuwa Rais wa Kenya na huyu Ruto ( Rais ) wa Kenya ninayemuona leo ni Watu wawili tofauti.

Ruto ( Rais wa Kenya ) wa sasa ukimtizama hata tu Usoni utagundua kuwa ameshaanza kupaona Ikulu ni Pagumu, ana Sura ya Kutia Huruma na huenda hata Kimoyomoyo anajutia kwanini aligombea Urais Wenyewe.

Ndiyo maana Siku zote Watu ( Wanadamu ) Werevu ( Intelligent ) huwa hawapendi Kujihusisha na Siasa ( tena hizi Mbovu na za Visasi pamoja na Chuki, ila ile 'Mipopoma' pekee ndiyo hupenda Madaraka na Tamaa ya Pesa, ili waje Kututambia Vijiweni Kwetu.
Kama kweli unapenda kuwa responsible huwezi ng'ang'ania madaraka hata siku moja

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Acha kuharibu thd,kama vipi pita kimya tu.
Huyo yuko JamiiForums Kunikandia kwa kila Kitu na kama hamjui ndiyo Yule Yule niliyembatiza Jina jipya la 'Ngala Ngala' na hiyo ni ID yake mbadala.

Ananichukia lakini 24/7 ananisoma JF. Na mwambieni LIKUD aliyemtagi ( aliyemtaja ) hapo ni GENTAMYCIME na Mimi anayenichukia ni GENTAMYCINE hivyo ni Watu Wawili tofauti.
 
Huyo yuko JamiiForums Kunikandia kwa kila Kitu na kama hamjui ndiyo Yule Yule niliyembatiza Jina jipya la 'Ngala Ngala' na hiyo ni ID yake mbadala.

Ananichukia lakini 24/7 ananisoma JF. Na mwambieni LIKUD aliyemtagi ( aliyemtaja ) hapo ni GENTAMYCIME na Mimi anayenichukia ni GENTAMYCINE hivyo ni Watu Wawili tofauti.
Uzi wa popoma.bila.matusi ni sawa na Yanga bila Mayele
 
Ruto niliyemuona akiwa na Mikogo yote Siku anaapishwa kuwa Rais wa Kenya na huyu Ruto ( Rais ) wa Kenya ninayemuona leo ni Watu wawili tofauti.

Ruto ( Rais wa Kenya ) wa sasa ukimtizama hata tu Usoni utagundua kuwa ameshaanza kupaona Ikulu ni Pagumu, ana Sura ya Kutia Huruma na huenda hata Kimoyomoyo anajutia kwanini aligombea Urais Wenyewe.

Ndiyo maana Siku zote Watu ( Wanadamu ) Werevu ( Intelligent ) huwa hawapendi Kujihusisha na Siasa ( tena hizi Mbovu na za Visasi pamoja na Chuki, ila ile 'Mipopoma' pekee ndiyo hupenda Madaraka na Tamaa ya Pesa, ili waje Kututambia Vijiweni Kwetu.
Ruto amegundua kwamba Uraisi wake hauna nguvu kabisa, kwa kuwa vikao vya seneti na bunge sijui wanaotawala ni chama cha Odinga. Ali focus kwenye kucharanga kura za uraisi, akajisahau kuwa uraisi bila kuwa na power za wabunge si mali kitu. Ni sawa na Tundu Lissu awe raisi halafu CCM ibaki na Wabunge na madiwani wake kama ilivyo sasa. Au Magufuli awe raisi halafu wabunge karibu wote Chadema, na Spika Ndugai Chadema! Mbona atakoma! Ndio yanayompata Ruto. Itabidi aombe poo kwa Odinga!

Asipoangalia hata vote of no confidence wanaweza kumfanyia!
 
Ruto amegundua kwamba Uraisi wake hauna nguvu kabisa, kwa kuwa vikao vya seneti na bunge sijui wanaotawala ni chama cha Odinga. Ali focus kwenye kucharanga kura za uraisi, akajisahau kuwa uraisi bila kuwa na power za wabunge si mali kitu. Ni sawa na Tundu Lissu awe raisi halafu CCM ibaki na Wabunge na madiwani wake kama ilivyo sasa. Au Magufuli awe raisi halafu wabunge karibu wote Chadema! Mbona atakoma! Ndio yanayompata Ruto. Itabidi aombe poo kwa Odinga!

Asipoangalia hata vote of no confidence wanaweza kumfanyia!
Sidhani unachokisema,RUTO yuko na idadi nzuri tu ya wabunge kwa sasa.
 
Mkuu
Msimchokoze popoma Mwandamizi GENTAMYCIME

Ana nyuzi makini na za kufikirika sana
Mimi siyo huyu aliyeiga ID yangu ili Kusafiria Nyota yangu Kali Kiumaarufu GENTAMYCIME bali Mimi ni GENTAMYCINE halisi Mwenye Avatar ya Netanyahu na niliyejiunga JamiiForums mwaka 2013 Mwezi July sawa?
 
Mimi siyo huyu aliyeiga ID yangu ili Kusafiria Nyota yangu Kali Kiumaarufu GENTAMYCIME bali Mimi ni GENTAMYCINE halisi Mwenye Avatar ya Netanyahu na niliyejiunga JamiiForums mwaka 2013 Mwezi July.
Kweli kabisa
Huyo hana hadhi ya kuitwa Popoma
 
Back
Top Bottom