Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunani kiundani?Ruto niliyemuona akiwa na Mikogo yote Siku anaapishwa kuwa Rais wa Kenya na huyu Ruto ( Rais ) wa Kenya ninayemuona leo ni Watu wawili tofauti.
Ruto ( Rais wa Kenya ) wa sasa ukimtizama hata tu Usoni utagundua kuwa ameshaanza kupaona Ikulu ni Pagumu, ana Sura ya Kutia Huruma na huenda hata Kimoyomoyo anajutia kwanini aligombea Urais Wenyewe.
Ndiyo maana Siku zote Watu ( Wanadamu ) Werevu ( Intelligent ) huwa hawapendi Kujihusisha na Siasa ( tena hizi Mbovu na za Visasi pamoja na Chuki, ila ile 'Mipopoma' pekee ndiyo hupenda Madaraka na Tamaa ya Pesa, ili waje Kututambia Vijiweni Kwetu.
Ruto sio JPM aliyeishia JKT oljoroNamuonea mno Huruma kwani Kazungukwa na Mafia Watupu Kitu ambacho ni Hatari Kwake ( hasa Kiusalama na Kiulinzi ) na ukizingatia hata Kifo cha Kutatanisha cha Mwanasheria Mahiri na Mashuhuri hivi Majuzi anbaye pia Swahiba ( Rafiki yake ) Rais Ruto.
Unatolewa nje ya msitari kirahisi mno😁😁Kwahiyo mwenye Hadhi hiyo ni nani?
Shikamoo Genta.Kwahiyo mwenye Hadhi hiyo ni nani?
Wewe ndiyo kiumbe pekee hapa duniani kilichobarikiwa na kupewa hadhi ya kuitwa popoma.Kwahiyo mwenye Hadhi hiyo ni nani?
Ruto sio JPM aliyeishia JKT oljoro
Idadi nzuri inayofanya majority?Sidhani unachokisema,RUTO yuko na idadi nzuri tu ya wabunge kwa sasa.