Mkiambiwa Ikulu siyo kwa Kukimbilia muwe mnaelewa sawa?

Mbona wa kwenyetu husemi jana ana Hamasisha nguvu za Kiume akati Tozo zime maliza nguvu za kiume!!!!
 
Kunani kiundani?
 
Namuonea mno Huruma kwani Kazungukwa na Mafia Watupu Kitu ambacho ni Hatari Kwake ( hasa Kiusalama na Kiulinzi ) na ukizingatia hata Kifo cha Kutatanisha cha Mwanasheria Mahiri na Mashuhuri hivi Majuzi anbaye pia Swahiba ( Rafiki yake ) Rais Ruto.
Ruto sio JPM aliyeishia JKT oljoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…