Pre GE2025 Mkiambiwa Mbowe hatoboi muwe mnaelewa

Pre GE2025 Mkiambiwa Mbowe hatoboi muwe mnaelewa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Habari za jumapili.

Kuna ndugu zangu kina Retired na FUSO na kina Yericko Nyerere bado ni vipofu hawaoni mbele kuhusu kinachoenda kutokea hiyo January 21.

Sijajua kitu gani kinawafanya wasione jambo dogo kama hili.

Mbowe hawezi Kupata hata Kura 300 za wajumbe.
Ushindi pekee aliobakiwa nap Mbowe ni kujitoa kwenye kinyang'anyiro vinginevyo anachoenda kukutana nacho ni aibu ya kufungulia Mwaka.

Haya. Aibu ya kujitakia hii
 
Habari za jumapili.

Kuna ndugu zangu kina Retired na FUSO na kina Yericko Nyerere bado ni vipofu hawaoni mbele kuhusu kinachoenda kutokea hiyo January 21.

Sijajua kitu gani kinawafanya wasione jambo dogo kama hili.

Mbowe hawezi Kupata hata Kura 300 za wajumbe.
Ushindi pekee aliobakiwa nap Mbowe ni kujitoa kwenye kinyang'anyiro vinginevyo anachoenda kukutana nacho ni aibu ya kufungulia Mwaka.

Haya. Aibu ya kujitakia hii
Hatoboi nini ?
 
Hata ukiwasikiliza Makamanda walio wengi ndani ya chama, wanasema ni wakati sasa wa Mh. Mbowe kupumzishwa nafasi yake ya Uenyekiti, kupitia sanduku la kura! kama amegoma kupumzika kwa hiyari yake.
 
Habari za jumapili.

Kuna ndugu zangu kina Retired na FUSO na kina Yericko Nyerere bado ni vipofu hawaoni mbele kuhusu kinachoenda kutokea hiyo January 21.

Sijajua kitu gani kinawafanya wasione jambo dogo kama hili.

Mbowe hawezi Kupata hata Kura 300 za wajumbe.
Ushindi pekee aliobakiwa nap Mbowe ni kujitoa kwenye kinyang'anyiro vinginevyo anachoenda kukutana nacho ni aibu ya kufungulia Mwaka.

Haya. Aibu ya kujitakia hii
We ni mwanachama Namba ngapi?
 
Kwa nilichoonyeshwa na Mungu ni kweli ,ila kuna hujuma , Hilo sasa ni jambo lingine ambalo hata serikali watalishadadia litokee Ili chama kivunjike . Yaani kama unasaidiwa kumbe wanaenda kuvunja taasisi
 
Hata ukiwasikiliza Makamanda walio wengi ndani ya chama, wanasema ni wakati sasa wa Mh. Mbowe kupumzishwa nafasi yake ya Uenyekiti, kupitia sanduku la kura! kama amegoma kupumzika kwa hiyari yake.

1. Rushwa
2.Kushindwa kutetea wanachama wenzao wanaotekwa.
3. Kushindwa kujitetea wanapofanyiwa dhulma za kiuchaguzi.
Hiyo yote ni Kwa sababu ya ubovu wa Safu ya juu kabisa ya viongozi
 
Kwa nilichoonyeshwa na Mungu ni kweli ,ila kuna hujuma , Hilo sasa ni jambo lingine ambalo hata serikali watalishadadia litokee Ili chama kivunjike . Yaani kama unasaidiwa kumbe wanaenda kuvunja taasisi

Kina Nyerere na Mandela wao sio wajinga kuachia madaraka mapema.
Heshima waliyonayo ni kubwa kuliko Gaddafi na Mugabe
 
Habari za jumapili.

Kuna ndugu zangu kina Retired na FUSO na kina Yericko Nyerere bado ni vipofu hawaoni mbele kuhusu kinachoenda kutokea hiyo January 21.

Sijajua kitu gani kinawafanya wasione jambo dogo kama hili.

Mbowe hawezi Kupata hata Kura 300 za wajumbe.
Ushindi pekee aliobakiwa nap Mbowe ni kujitoa kwenye kinyang'anyiro vinginevyo anachoenda kukutana nacho ni aibu ya kufungulia Mwaka.

Haya. Aibu ya kujitakia hii
Msingida amshinde Mchagga! Haijawahi kutokea bwashee
 
Kwa nilichoonyeshwa na Mungu ni kweli ,ila kuna hujuma , Hilo sasa ni jambo lingine ambalo hata serikali watalishadadia litokee Ili chama kivunjike . Yaani kama unasaidiwa kumbe wanaenda kuvunja taasisi
Great!!!!
 
Back
Top Bottom