Unakumbuka ya Mrema? Mbowe hawezi shindwa na LissuWatu wanataka kuondoa hiyo dhana KUWA CHADEMA ni Saccos ya Mbowe na huu ndio wakati sahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakumbuka ya Mrema? Mbowe hawezi shindwa na LissuWatu wanataka kuondoa hiyo dhana KUWA CHADEMA ni Saccos ya Mbowe na huu ndio wakati sahihi
Labda atatumia mbinu za kijaniAkijitoa Sawa. Vinginevyo Matokeo yoyote hayamnufaishi
Labda atatumia mbinu za kijani
Unakumbuka ya Mrema? Mbowe hawezi shindwa na Lissu
Ila ni kweli maana niliona matamko kutoka Njombe, Songwe na Katavi yakimuunga mkono mpinzani wakeNakuambia, Mbowe huu uchaguzi umemkalia Vibaya akishinda CHADEMA inakufa, akishindwa aibu na heshima chali
Yaani mtu unalala unaota ukiamka unapost tu. Kalale tena basi uote uki…..au basi, sio hulka yangu.
Ila ni kweli maana niliona matamko kutoka Njombe, Songwe na Katavi yakimuunga mkono mpinzani wake
Kwa nini ajitoe wakati kwenye uchaguzi kuna kushinda au kushindwa?Habari za jumapili.
Kuna ndugu zangu kina Retired na FUSO na kina Yericko Nyerere bado ni vipofu hawaoni mbele kuhusu kinachoenda kutokea hiyo January 21.
Sijajua kitu gani kinawafanya wasione jambo dogo kama hili.
Mbowe hawezi Kupata hata Kura 300 za wajumbe.
Ushindi pekee aliobakiwa nap Mbowe ni kujitoa kwenye kinyang'anyiro vinginevyo anachoenda kukutana nacho ni aibu ya kufungulia Mwaka.
Haya. Aibu ya kujitakia hii
..Kuna mama mmoja akizungumza kutoka katavi kuhusu kuibiwa serikali za mitaa, alisema yeye Yuko na lissu tu1. Rushwa
2.Kushindwa kutetea wanachama wenzao wanaotekwa.
3. Kushindwa kujitetea wanapofanyiwa dhulma za kiuchaguzi.
Hiyo yote ni Kwa sababu ya ubovu wa Safu ya juu kabisa ya viongozi
Kwa nini ajitoe wakati kwenye uchaguzi kuna kushinda au kushindwa?
..Sio ndani tu, hata nje ya chadema hawaungwi mkono, nimemuona Jana Ntobi na yericko dah, aibuAngalia Wanaomuunga Mkono Mbowe sio watu wenye ushawishi Mkubwa ndani ya CHADEMA.
Wajumbe wataamuaUnakumbuka ya Mrema? Mbowe hawezi shindwa na Lissu
..Kile kikundi kilichomshauri akagombee hakukuwa na Nia njema kwa chama na mbowe...Nakuambia, Mbowe huu uchaguzi umemkalia Vibaya akishinda CHADEMA inakufa, akishindwa aibu na heshima chali
Sasa Robert Mbowe angefanyaje pale chaguzi zinapohujumiwa? Akiitisha maandamano hamtokei1. Rushwa
2.Kushindwa kutetea wanachama wenzao wanaotekwa.
3. Kushindwa kujitetea wanapofanyiwa dhulma za kiuchaguzi.
Hiyo yote ni Kwa sababu ya ubovu wa Safu ya juu kabisa ya viongozi
1💯% anapigwa chini kwenye box la kura halafu tunaendelea na mapambano.Haya. Aibu ya kujitakia hii...
Ndo maana ya JF jukwaa huru. Asante kwa kushiriki ndivyo mtwana wako atakavyojibiwa baada ya uchaguzi kuisha.Wewe ukilala ukiamka unasoma ndoto za watu na kuzitolea maoni. Anyway ni Haki yako
Hatutokei kwenye maandamano sababu Mbowe ni snitch. Hafai kabisa.Sasa Robert Mbowe angefanyaje pale chaguzi zinapohujumiwa? Akiitisha maandamano hamtokei
Tukisema uchaguzi ulishaisha watu hawaelewi, waliochukua vibunda vya watu wavirudishe vinginevyo wataolewa kwa lazima , dunian hakuna cha bureHabari za jumapili.
Kuna ndugu zangu kina Retired na FUSO na kina Yericko Nyerere bado ni vipofu hawaoni mbele kuhusu kinachoenda kutokea hiyo January 21.
Sijajua kitu gani kinawafanya wasione jambo dogo kama hili.
Mbowe hawezi Kupata hata Kura 300 za wajumbe.
Ushindi pekee aliobakiwa nap Mbowe ni kujitoa kwenye kinyang'anyiro vinginevyo anachoenda kukutana nacho ni aibu ya kufungulia Mwaka.
Haya. Aibu ya kujitakia hii