Pre GE2025 Mkiambiwa Mbowe hatoboi muwe mnaelewa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwanini ajitoe?.wewe akishindwa wewe unaathirika nini?.Mbona mnakua na akili zakijinga.kwani akishindwa ndo dunia inaisha.Usijifanye unamwonea huruma kuliko anavyojionea mwenyewe.Inawezekana yeye wala hawazi kwa jinsi mnavyomzagama uku mitandaoni.tupunguze kujipendekeza na kujipa umuhimu kwenye maisha na mipango ya watu ambao hata hawatujui.
 
Mkutano ujao wa waandishi wa habari utahusu mtu kujiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea uenyekiti wa CHADEMA.
Inaweza ikawa ngumu ukizingatiwa amepewa fungu...huenda
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ kuolewa tena
Ndo ivyo mkuu ,sisi kazi yetu ni kuwakumbusha tu, kwamba mbele yao kama wapo waliochukua vibunda wasiporudisha wataishi maisha ya Tab sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…