Mkiambiwa Mo Dewji ni Tajiri, hatanii na kamwe msimfananishe na Tajiri wenu 'Samjo Samjo' GSM muwe mnaelewa na msibishe

Mkiambiwa Mo Dewji ni Tajiri, hatanii na kamwe msimfananishe na Tajiri wenu 'Samjo Samjo' GSM muwe mnaelewa na msibishe

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Nimepokea maoni mengi ya WanaSimba wenzangu wakishauri tujenge uwanja wetu na wako tayari kuchangia ili tufanikishe ujenzi huo. Naomba kuweka wazi kwamba nimepokea maoni hayo kwa mikono miwili.

Naomba Bodi ya Simba kukaa na kuja na utaratibu wa haraka ili jambo hili lianze utekelezaji. Kwa kuanza naahidi kuchangia Tsh. 2 bilioni. Nawaomba wanasimba tuchangie sote.

Chanzo: Ukurasa wa Instagram wa Mo Dewji

Kuna Tapeli / Samjo Samjo Mmoja kadhamini tu Tsh Bilioni 2 katika NBC Premier League na Kuvidhamini Vilabu viwili vitatu anatamba kuwa ana Hela.

Kudadadeki Mwanaume sasa ametenga Billioni 2 za Kujenga Uwanja tena kwa Pesa zake halali kabisa na siyo za Wengine za Dhuluma, Ulaghai na Kuuza Dawa za Kusinzia hovyo Vijana huku wakitokwa na Maudenda yao midomoni.

TFF nadhani mmeshamsikia Tajiri Mo Dewji na Rais wa Heshima Simba SC kwa hii Jeuri yake kutokana na Roho Mbaya yenu ya Juzi kwa CEO Barbara Gonzalez na Mshauri wake Mkuu Crescentius Magori.

Na Uwanja huu / huo Ukikamilika Mimi kama KEROZENE nitaomba Kazi ya Ulinzi na natoa ANGALIZO mapema kwa Viongozi wa TFF ( hasa Mnafiki na mwana Yanga SC CEO wa Bodi ya Ligi Almasi Kasongo ) nikiwa Getini hamtoingia na mkilazimisha mtajua kwanini Hayati Bruce Lee aliniachia Urithi wa Sanaa yake ya Kimapigano.
 
Huyo bwana Mo Mchongo Dewji ameshatutapeli sana na kibwagizo chake cha uwekezaji wa mabilion ila kimsingi ni hela za mdomoni sio cash!

Yeye kama anataka wana Simba wachangie ujenzi aseme tu tutatoa hata buku buku kwa fansi million 10 sio haba!

10 Billion inatosha kabisa kujenga uwanja wa kisasa wa Simba!
 
Huyo bwana Mo Mchongo Dewji ameshatutapeli sana na kibwagizo chake cha uwekezaji wa mabilion ila kimsingi ni hela za mdomoni sio cash!

Yeye kama anataka wana Simba wachangie ujenzi aseme tu tutatoa hata buku buku kwa fansi million 10 sio haba!

10 Billion inatosha kabisa kujenga uwanja wa kisasa wa Simba!
Bilion 20 ishawekwa ulitaka uthibitisho gani kama cheque iliwekwa hadharani?
 
Huyo bwana Mo Mchongo Dewji ameshatutapeli sana na kibwagizo chake cha uwekezaji wa mabilion ila kimsingi ni hela za mdomoni sio cash!

Yeye kama anataka wana Simba wachangie ujenzi aseme tu tutatoa hata buku buku kwa fansi million 10 sio haba!

10 Billion inatosha kabisa kujenga uwanja wa kisasa wa Simba!
Amewatapeli?
Kumekuwa na upungufu gani Simba hadi useme Mo kawatapeli?
Una wivu ama chuki?
 
Nimepokea maoni mengi ya WanaSimba wenzangu wakishauri tujenge uwanja wetu na wako tayari kuchangia ili tufanikishe ujenzi huo. Naomba kuweka wazi kwamba nimepokea maoni hayo kwa mikono miwili.

Naomba Bodi ya Simba kukaa na kuja na utaratibu wa haraka ili jambo hili lianze utekelezaji. Kwa kuanza naahidi kuchangia Tsh. 2 bilioni. Nawaomba wanasimba tuchangie sote.

Chanzo: Ukurasa wa Instagram wa Mo Dewji

Kuna Tapeli / Samjo Samjo Mmoja kadhamini tu Tsh Bilioni 2 katika NBC Premier League na Kuvidhamini Vilabu viwili vitatu anatamba kuwa ana Hela.

Kudadadeki Mwanaume sasa ametenga Billioni 2 za Kujenga Uwanja tena kwa Pesa zake halali kabisa na siyo za Wengine za Dhuluma, Ulaghai na Kuuza Dawa za Kusinzia hovyo Vijana huku wakitokwa na Maudenda yao midomoni.

TFF nadhani mmeshamsikia Tajiri Mo Dewji na Rais wa Heshima Simba SC kwa hii Jeuri yake kutokana na Roho Mbaya yenu ya Juzi kwa CEO Barbara Gonzalez na Mshauri wake Mkuu Crescentius Magori.

Na Uwanja huu / huo Ukikamilika Mimi kama KEROZENE nitaomba Kazi ya Ulinzi na natoa ANGALIZO mapema kwa Viongozi wa TFF ( hasa Mnafiki na mwana Yanga SC CEO wa Bodi ya Ligi Almasi Kasongo ) nikiwa Getini hamtoingia na mkilazimisha mtajua kwanini Hayati Bruce Lee aliniachia Urithi wa Sanaa yake ya Kimapigano.
Matajiri hutoa wenyewe b30-40 wenyewe kujenga uwanja hivi viela vingine hata akina diamond platnum wanaweza kuvitoa,kumbuka mondi aliahidi kujenga arena km serikali ingempa eneo [emoji847]

Matajiri wa kutoa mchango wa b1-5 hapa mjini wapo wengi sana
 
Nimepokea maoni mengi ya WanaSimba wenzangu wakishauri tujenge uwanja wetu na wako tayari kuchangia ili tufanikishe ujenzi huo. Naomba kuweka wazi kwamba nimepokea maoni hayo kwa mikono miwili.

Naomba Bodi ya Simba kukaa na kuja na utaratibu wa haraka ili jambo hili lianze utekelezaji. Kwa kuanza naahidi kuchangia Tsh. 2 bilioni. Nawaomba wanasimba tuchangie sote.

Chanzo: Ukurasa wa Instagram wa Mo Dewji

Kuna Tapeli / Samjo Samjo Mmoja kadhamini tu Tsh Bilioni 2 katika NBC Premier League na Kuvidhamini Vilabu viwili vitatu anatamba kuwa ana Hela.

Kudadadeki Mwanaume sasa ametenga Billioni 2 za Kujenga Uwanja tena kwa Pesa zake halali kabisa na siyo za Wengine za Dhuluma, Ulaghai na Kuuza Dawa za Kusinzia hovyo Vijana huku wakitokwa na Maudenda yao midomoni.

TFF nadhani mmeshamsikia Tajiri Mo Dewji na Rais wa Heshima Simba SC kwa hii Jeuri yake kutokana na Roho Mbaya yenu ya Juzi kwa CEO Barbara Gonzalez na Mshauri wake Mkuu Crescentius Magori.

Na Uwanja huu / huo Ukikamilika Mimi kama KEROZENE nitaomba Kazi ya Ulinzi na natoa ANGALIZO mapema kwa Viongozi wa TFF ( hasa Mnafiki na mwana Yanga SC CEO wa Bodi ya Ligi Almasi Kasongo ) nikiwa Getini hamtoingia na mkilazimisha mtajua kwanini Hayati Bruce Lee aliniachia Urithi wa Sanaa yake ya Kimapigano.
Swaga zako za Ulozi mechi ya J.mosi ziliishia wapi? Nyie wake wapuuzi wachache waliobaki kwenye vilabu hivi wakiamini ushirikina unaweza kubadili matokeo uwanjani, duh pole Sana bado huko nyuma ya wakati.
 
Khanjibai ....hawez kujenga uwanja......bila aibu anasema anachangia 2b
..
...ambayo sis wajuba tunanywea chai


Mwambien atulize wenge....atafilisika
 
Back
Top Bottom