poaUmeelewa maelezo ya huu uzi kweli?
Mo Arena, hivi mchoro tayari au Mo anademka tu kwa kwa kukosa unyumba kwa siku mbilitunachangia Simba
Vunja hajaweka kutangaza vunja bei kaweka kuuza jezi na vifaa vya Simba na pesa yake anarudisha tu GSM kawekeza kutangaza brand yake tu GSM. NBC kaweka 2.5 Billion ndio thamani ya league yetu sasa ulitaka aweke pesa ndefu kuliko mdhamini mkuu.mtu anadhamini ligi kuu kwa bil 2 kwa mkataba wa miaka 2 ,wakati Vunja Bei jezi tu kaweka mkataba wa bil 2 kwa mwaka
Critics are really the enemy and IHaya mzungu huyo eti ndiyo mjuvi wa lugha ya malkia Makolokoloni
Upo sahihi kiasi fulani.....Uwanja hauwezi kujengwa kwa michango ya mashabiki wala kwa mchango wa 2B za Mo. Hapa kuna komedi inatengenezwa.
Ninavyojua mimi klabu itachukua mkopo kutoka benki na kujenga uwanja kisha kinachofuata ni kulipa mkopo ambapo klabu itapata pesa za kulipia kwa kupitia bidhaa mbalimbali za klabu kuziuza kwa mashabiki wake.
Ila mashabiki wanasombwa na hisia hata kuangalia usahihi wa dira yao ni ngumu
Nimepokea maoni mengi ya WanaSimba wenzangu wakishauri tujenge uwanja wetu na wako tayari kuchangia ili tufanikishe ujenzi huo. Naomba kuweka wazi kwamba nimepokea maoni hayo kwa mikono miwili.
Naomba Bodi ya Simba kukaa na kuja na utaratibu wa haraka ili jambo hili lianze utekelezaji. Kwa kuanza naahidi kuchangia Tsh. 2 bilioni. Nawaomba wanasimba tuchangie sote.
Chanzo: Ukurasa wa Instagram wa Mo Dewji
Kuna Tapeli / Samjo Samjo Mmoja kadhamini tu Tsh Bilioni 2 katika NBC Premier League na Kuvidhamini Vilabu viwili vitatu anatamba kuwa ana Hela.
Kudadadeki Mwanaume sasa ametenga Billioni 2 za Kujenga Uwanja tena kwa Pesa zake halali kabisa na siyo za Wengine za Dhuluma, Ulaghai na Kuuza Dawa za Kusinzia hovyo Vijana huku wakitokwa na Maudenda yao midomoni.
TFF nadhani mmeshamsikia Tajiri Mo Dewji na Rais wa Heshima Simba SC kwa hii Jeuri yake kutokana na Roho Mbaya yenu ya Juzi kwa CEO Barbara Gonzalez na Mshauri wake Mkuu Crescentius Magori.
Na Uwanja huu / huo Ukikamilika Mimi kama KEROZENE nitaomba Kazi ya Ulinzi na natoa ANGALIZO mapema kwa Viongozi wa TFF ( hasa Mnafiki na mwana Yanga SC CEO wa Bodi ya Ligi Almasi Kasongo ) nikiwa Getini hamtoingia na mkilazimisha mtajua kwanini Hayati Bruce Lee aliniachia Urithi wa Sanaa yake ya Kimapigano.
Hii itakua ya kwanza. Ikifanikiwa itawalazimu na wengine waige.Upo sahihi kiasi fulani.....
Japo sio asilimia zote.
Watachanga kwa kiasi chao ndio maana kakwambia kwa kuanzia.
Kitakachobaki watatafuta namna....
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app