Mkiambiwa Mungu hapendi Kulazimishwa Jambo kwani hutupa kila Kitu kwa Kipimo hatusikii tu

Mkiambiwa Mungu hapendi Kulazimishwa Jambo kwani hutupa kila Kitu kwa Kipimo hatusikii tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na kaniambia hii Mvua isiyoisha Koki yake ataisahau wa Makusudi kwa muda mpaka tushike Adabu kisha atarejesha Jua lake na Joto.

Ndani ya Wiki Mbili nzima kila Mtu anamlaumu tu Mwenyezi Mungu kwa Joto na Jua Kali na Wengine hata Kumchukia wakati Yeye alikuwa na lengo lake Jema tu na sasa baada ya kutuchoka Wanadamu kwa Kelele na Viherehere vyetu leo Katuamulia na hapa bado.

Kudadadeki......!!
 
Ni leo na kesho tu ndo tutakula bata la ubaridi...

Kuanzia keshokutwa mwendo ni uleule wa leso na maji ya bariiiiiiidi mkononi[emoji736]

Screenshot_2024-01-05-14-00-33-802_com.miui.weather2-edit.jpg
 
Na kaniambia hii Mvua isiyoisha Koki yake ataisahau wa Makusudi kwa muda mpaka tushike Adabu kisha atarejesha Jua lake na Joto.

Ndani ya Wiki Mbili nzima kila Mtu anamlaumu tu Mwenyezi Mungu kwa Joto na Jua Kali na Wengine hata Kumchukia wakati Yeye alikuwa na lengo lake Jema tu na sasa baada ya kutuchoka Wanadamu kwa Kelele na Viherehere vyetu leo Katuamulia na hapa bado.

Kudadadeki......!!
Naunga mkono hoja
 
Kule kwenu musoma mafuriko balaa, watu hawana pa kwenda wanang'ang'ana na nyumba zao huku zimezingirwa na maji ndani na nje. Cha ajabu watu wanalala huku maji yako chini ya kitanda, ikiongezeka mvua hivyo vitanda vitafunikwa na maji. Sisi kwetu huku mafuriko tunayasikia na kuyaona kwa wengine hatuna mvua za kutujazia maji mitaani yanaishia maboni na kutafuta njia za kwenda maziwani na mabwawani. Tumuembe Mungu atupe mvua za kutosheleza mahitaji yetu zisizidi kiwango cha juu nyumba zetu za tope zitadondoka
 
Na kaniambia hii Mvua isiyoisha Koki yake ataisahau wa Makusudi kwa muda mpaka tushike Adabu kisha atarejesha Jua lake na Joto.

Ndani ya Wiki Mbili nzima kila Mtu anamlaumu tu Mwenyezi Mungu kwa Joto na Jua Kali na Wengine hata Kumchukia wakati Yeye alikuwa na lengo lake Jema tu na sasa baada ya kutuchoka Wanadamu kwa Kelele na Viherehere vyetu leo Katuamulia na hapa bado.

Kudadadeki......!!
Mungu hafundishwi cha kufanya
 
Back
Top Bottom