P Pantosha JF-Expert Member Joined Sep 22, 2022 Posts 640 Reaction score 958 Jun 30, 2024 #1 Siasa ni biashara nzuri sana. Binafsi naipenda. Msigwa baada ya kuona ugumu wa kufanya biashara CHADEMA ameamua kutimkia CCM. Nadhani wananchi maskini na wanyonge mna la kujifunza hapo.
Siasa ni biashara nzuri sana. Binafsi naipenda. Msigwa baada ya kuona ugumu wa kufanya biashara CHADEMA ameamua kutimkia CCM. Nadhani wananchi maskini na wanyonge mna la kujifunza hapo.
Ivan Stepanov JF-Expert Member Joined Apr 22, 2023 Posts 6,799 Reaction score 22,209 Jun 30, 2024 #2 Alisema ana jasho lake chadema la over 20 yrs.kamuachia nani? Au kamuachia Mungu