Mkianika chupi zenu nje muwe mnazifunika, tunaumizana jamani...!

mapipando

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
2,922
Reaction score
3,559
Mchana mwema wakuu,

Unapita sehemu unakuta kamba imejaa vyupi hatari vya rangi mbalimbali,wengine tukiziona zile tunaanza kujenga picha ya papuchi,baada picha ku-develop kichwani mshedede unapata taarifa kisha unatutumka kama kitu gani sijui.
Enyi wanawake wenye tabia hii mnatupa tabu sana,nashauri mkianika basi chukua mtandio ama kanga funika vifuniko vya asali hivyo.
 
Wasamehe mkuu hawajafundwa hao mwanamke uliyefundwa ukianika chupi zako nje lazima ufiche na khanga juu au chochote ili chupi zisionekane
Kwa majibu hayo inamaanisha mtu anaeziona mupenzi pekee au sio mkuu?

Wanawake wengine hajielewi kabisa,unakuta zingine zimetoboka lakini wapi hata kusema ngoja hizi nizifiche hakuna
 
Anayetakiwa kuona chupi yako ni mumeo au mpenzi wako sio watu wengine mkuu
Swadaktaa mkuu.
Wanawake walio wengi wa mujini dasalama ndio zao.
Sasa najiuliza huwa wanazilundika weeee halafu zikiisha safi ndio anatoa kuzifua ama inakuaje,maana haiwezekani zijae kamba nzima.
 
Siku hizi si inasemekana hawavai kabisa chupi? Au zinaonekanaje zikiwa zimeanikwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…