yeddy guyy
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 627
- 489
Upimwe mkojo[emoji1] [emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upimwe mkojo[emoji1] [emoji1]
Wachawe!!!![emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Wasamehe mkuu hawajafundwa hao mwanamke uliyefundwa ukianika chupi zako nje lazima ufiche na khanga juu au chochote ili chupi zisionekane
Hazikauki.Wasamehe mkuu hawajafundwa hao mwanamke uliyefundwa ukianika chupi zako nje lazima ufiche na khanga juu au chochote ili chupi zisionekane
Anayetakiwa kuona chupi yako ni mumeo au mpenzi wako sio watu wengine mkuu
Acha kuendekeza tamaa
Mchana mwema wakuu,
Unapita sehemu unakuta kamba imejaa vyupi hatari vya rangi mbalimbali,wengine tukiziona zile tunaanza kujenga picha ya papuchi,baada picha ku-develop kichwani mshedede unapata taarifa kisha unatutumka kama kitu gani sijui.
Enyi wanawake wenye tabia hii mnatupa tabu sana,nashauri mkianika basi chukua mtandio ama kanga funika vifuniko vya asali hivyo.
Mimi makatazo ya hovyo hivi siyakubali kabisa, acha waendele mzee unajua wengine sisi hupendelea kula vitu kwa machoKwahiyo mkuu unashauri waendelee?
zile ambazo zimeshonwaa za mambo yetu wanawake hazianikwo nje hivyoo.. hata hivyo mwanamke akiyefundwa huanika chupi na kufunika na kanga au mtandio ndo maana ya heshima ya chupi ya mwanamke..ukiona mwanamke anaanika hivyo ni malaya huyo anataka wanaume tuu hana lolote huyooo.. POLENI WANAUME MNAOPITIA MAJARIBU HAYOukiona hivyo ujue ni chupi mpya hizo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nikiwa Darasa la Pili nilikuwa nabaka Chupi ya Dada mmoja alikuwa nyumbani.
Kila siku lazima nizini na ile chupi.