Mkianika chupi zenu nje muwe mnazifunika, tunaumizana jamani...!

Unajuaje kuwa zimetumika? au unaendaga kuzichunguza? Je ukiona boxer za wanaume unapata hiyo shida pia?
Sasa mkuu mtu anaweza kununua chupi mpya dukani zaidi ya tano kisha akazifua?
Kuhusu boxer sipati shida kwani mm si mchimba mitaro teh
 
Sasa mkuu mtu anaweza kununua chupi mpya dukani zaidi ya tano kisha akazifua?
Kuhusu boxer sipati shida kwani mm si mchimba mitaro teh

Kwani kuna kiwango au sheria inayomzuia mtu kuwa na idadi fulani?
 
Sidhani kama hii inawezekana. Nafua na anika kamba hata nne vyupi tuu nitakachozuia ni upande wa wapita njia hawataweza kuziona il ukija mgeni au hata ukiwa uani utaziona tuu na sidhani kam akuna siku nitaacha kufua na kuanika nje
 
Ndiwoooooooooo
Sidhani kama hii inawezekana. Nafua na anika kamba hata nne vyupi tuu nitakachozuia ni upande wa wapita njia hawataweza kuziona il ukija mgeni au hata ukiwa uani utaziona tuu na sidhani kam akuna siku nitaacha kufua na kuanika nje
Unaishi wapi mkuu,natamani kuja kukutembelea.
 
mkuu Kuna hii midoli mikubwa ya kizungu inakuwaka imevishwa chupi tuu na sehem za hapo zimejaa balaa, huwa mara nyingi huwekwa nje ya maduka Ya vipodozi...........


*aliyebuni mapenzi kabuni mateso
 


Kila mtu na mzuka wake....kwa mfano asubuhi ya leo dada Maimartha wa Jesse alikuja kunitembelea hapa nyumbani na kuniachia sample hapo chini kwani kuna rafiki yake alikuwa anakuja kuzichukua ajifurahishe nazo. Bahati mbaya nikazisahau kwenye kamba zikining'inia. Nilipokumbuka kwenda kuzichukua nizihifadhi nikakutana na kina dada na kina Mama lukuki nje wameusaula na kupanga foleni kuzijaribu. Yaani foleni toka saa nne asubuhi ndiyo inakaribia kwisha sasa, cha kushangaza kuna wengine walirudia kuzitumia.
.
 
mkuu huyo maimartha mbona kama namjua ni muigizaji au, nikumbushe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…