Mkianika chupi zenu nje muwe mnazifunika, tunaumizana jamani...!

Kama umesimama itabidi uingize mikono mfukoni kuua sooo haahaa....Itabidi niwe nahudhuria nijionee live
 
Kweli we rijali[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Halafu zilizo nyingi sehemu ya kushika papuchi imechakaa ina rangi ya kipekee hata isafishwe vipi!
 
Ahaaaaa,sasa ukizifunika kwa kanga ama mtandio napo zinafubaa?
Nifunike kwasababu gani? Kama hivyo wauzaji wafunike na viwanda vyakuzalisha hizo nguo viajiri wanawake tu. Nguo za ndani zinahitaji mwanga wakutosha kuepuka magonjwa. Ndio maana wanawake wengi mabafu yananuka uvundo chupi zimebebeshwa hazikauki, kutwa mahospitali kunywa dawa za fungus.
Kuna wenye maeneo makubwa wametenga sehemu ya nje maalum kuanika ila sie wa uswahilini toa nje.
 
Sasa ukute na mwanaume anajua kucheza nazo raha kama zotee
Yeah nazichezea kwa utaalam huku namwimbia mtoto mzuri nyimbo tamu miksa maneno ya kimahaba.
Napitisha mkono kwa unyenyekevu ili kuzalisha mtekenyo kiunoni,hatari sana.
Halafu zina mlio wake zile khaaa...!
 
Shanga ni uchafu ukivaa manyingi kiunoni kama unavaa mbili uchafu unatokea wapi achana na watoto mkuu wasiojua uzuri wa shanga acha shanga ziheshimiwe
Swadaktaaaaa,kweli kuna wengine wana shanga kama zoteeee.
Too much is always harmful
 
Wewe ndio mwanaume mkuu
Huwa nashangaa mwanamke kutokuvaa shanga na kudai eti sijui uchafu.
Binafsi shanga zinanipagawishaga mno.
Mwanamke hata akiwa na sura mbovu ila akiwa na shanga ananivuruga hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…