Mkianika chupi zenu nje muwe mnazifunika, tunaumizana jamani...!

Mkianika chupi zenu nje muwe mnazifunika, tunaumizana jamani...!

Mchana mwema wakuu,

Unapita sehemu unakuta kamba imejaa vyupi hatari vya rangi mbalimbali,wengine tukiziona zile tunaanza kujenga picha ya papuchi,baada picha ku-develop kichwani mshedede unapata taarifa kisha unatutumka kama kitu gani sijui.
Enyi wanawake wenye tabia hii mnatupa tabu sana,nashauri mkianika basi chukua mtandio ama kanga funika vifuniko vya asali hivyo.
Kweli kiheshima si tabia nzuri kuweka sehem ya wazi chupi.
 
Kweli kiheshima si tabia nzuri kuweka sehem ya wazi chupi.
Wanatupa tabu sana hawa viumbe,ila kuna wachache sana wakianika nje wanazifunika na nguo nyepesi.
Ila micharuko ndo kwanzaaa wanazibana na vibanio ili zionekane vizuri shubaaaaamit zao.
 
Hzo ni mpya hazjaangukiwa na ute kwa pale chini hazina stimu
Hahahaha umenena vyema mkuu,chupi ambayo haijavaliwa ni sawa na mchele hata ukiwa na njaa kali ukiuona mchele huwezi tamani chochote tofauti na uone cha mtume kipo kwa sahani.
 
Nifunike kwasababu gani? Kama hivyo wauzaji wafunike na viwanda vyakuzalisha hizo nguo viajiri wanawake tu. Nguo za ndani zinahitaji mwanga wakutosha kuepuka magonjwa. Ndio maana wanawake wengi mabafu yananuka uvundo chupi zimebebeshwa hazikauki, kutwa mahospitali kunywa dawa za fungus.
Kuna wenye maeneo makubwa wametenga sehemu ya nje maalum kuanika ila sie wa uswahilini toa nje.
Mkuu kwa kifupi chupi ambazo bado hazijapata tabu na joto la mgodi wa uvinza wala hazina shida hivyo viwanda na wauzaji waendelee na mishe zao.
Pili kuanika nje sio tatizo mkuu,tatizo linakuja pale mnapoziachia wazi wazi tunaziona na kutuletea fedheha hasa sisi marijali.
Wala hakuna mahali nimesema msianike nje bali nimesema mkianika basi mzifunike na nguo nyepesi kama vile mtandio mbona zitakauka tu bi dada.
 
Back
Top Bottom