Sasa ukute na mwanaume anajua kucheza nazo raha kama zotee
Swadaktaaaaa,kweli kuna wengine wana shanga kama zoteeee.
Too much is always harmful
Yaaani.. daaah. Nimemmiss mkurya wangu ghafla daaah.. hapa ndo napoumia kukumbuka niko single na itachukua muda kumpata kama mkuryaAcha kabisa anavyozichezea kiunoni [emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751] utatamani asiache
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shenzy zako shanga na ziheshimiweYaaani.. daaah. Nimemmiss mkurya wangu ghafla daaah.. hapa ndo napoumia kukumbuka niko single na itachukua muda kumpata kama mkurya
Kuna watu wanavaa kama mzigo mpaka zinakua kama kibuyu cha mganga zilivyojazana..Hapo ndio wanapoharibu yaani shanga zisizidi 3 jamani
Ziheshimiwe sana mamiyake..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shenzy zako shanga na ziheshimiwe
Kuna watu wanavaa kama mzigo mpaka zinakua kama kibuyu cha mganga zilivyojazana..
Kama ambavyo wewe hujenga picha umesababisha na mimi nijenge, tena mimi nimejenga mbili, moja ya hivyo vyupi na nyingine ya pa**chi wakati ungeweza kufanya busara ukarushia na kapicha tuu hapo ili na mimi nijenge moja.Mchana mwema wakuu,
Unapita sehemu unakuta kamba imejaa vyupi hatari vya rangi mbalimbali,wengine tukiziona zile tunaanza kujenga picha ya papuchi,baada picha ku-develop kichwani mshedede unapata taarifa kisha unatutumka kama kitu gani sijui.
Enyi wanawake wenye tabia hii mnatupa tabu sana,nashauri mkianika basi chukua mtandio ama kanga funika vifuniko vya asali hivyo.
MmmmmmhAnayetakiwa kuona chupi yako ni mumeo au mpenzi wako sio watu wengine mkuu
Mmmmmmh
Ndo kusema miye nsie na Tako[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Thread zingine bila picha ni kama dera bila tako
Mkuu sidhani kama kuna haja ya wewe kuendelea kuumia,mafundi wa hizo mambo tupo,karibu tuzitatue changamoto na hakika hautajutaYaaani.. daaah. Nimemmiss mkurya wangu ghafla daaah.. hapa ndo napoumia kukumbuka niko single na itachukua muda kumpata kama mkurya
Labda kama huwa unaziona zikiwa chafu mkuu,lakini kama ni safi zimeanikwa halafu unapata kichefu chefu basi utakuwa una tatizo la usimamishaji nguzo wewe.No noo mkuu hilo ni tatizo lako mwenyewe, mbona wengine tukiziona tunapata kichefu chefu,!
mkuu huyo maimartha mbona kama namjua ni muigizaji au, nikumbushe?