Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ili mlete vurugu na fujo na kung"ang"ania madaraka sio..Habari Tanzania !
Naomba kwa kuwakumbushia kuwa endapo mkifanya mabadiliko ya KATIBA msisahu kuboresha kifungu cha umri wa RAIS kisomeke umri kuanzia miaka 30 na kuendelea...
Mpaka awepo mgombea binafsi ndo CCM ife mazima? Sasa wapinzani wana kazi gani?Hawezi CCM itakufa mazima
kabisaHabari Tanzania!
Naomba kwa kuwakumbushia kuwa endapo mkifanya mabadiliko ya KATIBA msisahu kuboresha kifungu cha umri wa RAIS kisomeke umri kuanzia miaka 30 na kuendelea.
Kiukweli wananchi wanasisimkwa zaidi wakiongozwa na vijana na sio mafaza au mabraza ambao wamekuwa wanachangamoto nyingi za kiuwezo katika kutuletea maendeleo.
Asante.
Umri wa kugombea uraisi Tanzania ikiwezekana uanzie miaka 55. Tuna ya kujifunza Kutoka mataifa makubwa kama Marekani na Urusi. Fikiria Biden na Trump Kwa Nini wanakubaliwa katika umri huo? Putin aliingia kijana madarakani mpka Leo ni yeye tu hataki kuachia ngazi. Ni rahisi kijana kung'ang'ania madarakani kuliko Mzee. Ndicho kinachowapata waganda na wanyarwanda. Watatawaliwa mpaka na vitukuu vya hao madikteta. Mandela aliingia akiwa na miaka 75 aliongoza miaka 2 tu akaachia madaraka Kwa wengine.Habari Tanzania!
Naomba kwa kuwakumbushia kuwa endapo mkifanya mabadiliko ya KATIBA msisahu kuboresha kifungu cha umri wa RAIS kisomeke umri kuanzia miaka 30 na kuendelea.
Kiukweli wananchi wanasisimkwa zaidi wakiongozwa na vijana na sio mafaza au mabraza ambao wamekuwa wanachangamoto nyingi za kiuwezo katika kutuletea maendeleo.
Asante.
Hakuna Taifa kubwa hapa duniani. Sema wananchi wa Taifa husika wanamaarifa mengi na mazuri yanayowafanya kuwa tofauti na wengine. Tukiamua tunaweza.Umri wa kugombea uraisi Tanzania ikiwezekana uanzie miaka 55. Tuna ya kujifunza Kutoka mataifa makubwa kama Marekani na Urusi. Fikiria Biden na Trump Kwa Nini wanakubaliwa katika umri huo? Putin aliingia kijana madarakani mpka Leo ni yeye tu hataki kuachia ngazi. Ni rahisi kijana kung'ang'ania madarakani kuliko Mzee. Ndicho kinachowapata waganda na wanyarwanda. Watatawaliwa mpaka na vitukuu vya hao madikteta. Mandela aliingia akiwa na miaka 75 aliongoza miaka 2 tu akaachia madaraka Kwa wengine.
Waruhusu mgombea binafsi tu. Hao wapinzani wanawaza madaraka kama wenzao tu, hawana utofauti.Mpaka awepo mgombea binafsi ndo CCM ife mazima? Sasa wapinzani wana kazi gani?
Miaka 30 hapana urais sio utendaji wa kijiji hata hiyo 45 bado ni michache na hasa kwa akili za watanzania walio wengiHabari Tanzania!
Naomba kwa kuwakumbushia kuwa endapo mkifanya mabadiliko ya KATIBA msisahu kuboresha kifungu cha umri wa RAIS kisomeke umri kuanzia miaka 30 na kuendelea.
Kiukweli wananchi wanasisimkwa zaidi wakiongozwa na vijana na sio mafaza au mabraza ambao wamekuwa wanachangamoto nyingi za kiuwezo katika kutuletea maendeleo.
Asante.
Huo umri mtaani kwako huwa mnawategemea kweli kwa maendeleo au tunapenda kujifariji tusionekane wabaya.Watu wenye 80+ wapo kibao, kufa ni matokeo hata miezi under 5 wanakufa sn
Hivi kwani uongozi huo ni kubeba zege (mrema Lyatonga RIP) kusema wazee hawawezi?Hakuna Taifa kubwa hapa duniani. Sema wananchi wa Taifa husika wanamaarifa mengi na mazuri yanayowafanya kuwa tofauti na wengine. Tukiamua tunaweza.
Maendeleo mazuri na makubwa huletwa na vijana. Hakuna Taifa lililoendelea kwa kuwategemea WASTAAFU kuleta maendeleo.
Yaani mtu awe na 55 utegemee maendeleo? Wewe mwenyewe ukifika huo umri huwezi kusaidia Taifa lako sembuse ngazi kubwa ya nchi.
Type ya akina Sabaya, Makonda n.k si wataanza kuua watu tenaHuo umri mtaani kwako huwa mnawategemea kweli kwa maendeleo au tunapenda kujifariji tusionekane wabaya.
Hakuna tume zaidi ya ujangili tupuMpaka awepo mgombea binafsi ndo CCM ife mazima? Sasa wapinzani wana kazi gani?
Walichaguliwa na nani hao watu, unaowapigia mfano?Type ya akina Sabaya, Makonda n.k si wataanza kuua watu tena
URAS sio chocho ya WAZEE na WASTAAFU. Kwanini WAZEE na WASTAAFU mnahofu kwa vijana hamuoni mtapata kutunzwa vyema.Miaka 30 hapana urais sio utendaji wa kijiji hata hiyo 45 bado ni michache na hasa kwa akili za watanzania walio wengi
Hatuwezi kuongozwa na mtoto wa miaka 30 hata kidogo maana bado akili yake inawaza wanawake na Pombe..Habari Tanzania!
Naomba kwa kuwakumbushia kuwa endapo mkifanya mabadiliko ya KATIBA msisahu kuboresha kifungu cha umri wa RAIS kisomeke umri kuanzia miaka 30 na kuendelea.
Kiukweli wananchi wanasisimkwa zaidi wakiongozwa na vijana na sio mafaza au mabraza ambao wamekuwa wanachangamoto nyingi za kiuwezo katika kutuletea maendeleo.
Asante.
Maoni yangu ni kwamba Umri wa Miaka 25 iwe ndio minimum age ya mtu kuweza kuwa Rais wa nchi hii ya Tz.Habari Tanzania!
Naomba kwa kuwakumbushia kuwa endapo mkifanya mabadiliko ya KATIBA msisahu kuboresha kifungu cha umri wa RAIS kisomeke umri kuanzia miaka 30 na kuendelea.
Kiukweli wananchi wanasisimkwa zaidi wakiongozwa na vijana na sio mafaza au mabraza ambao wamekuwa wanachangamoto nyingi za kiuwezo katika kutuletea maendeleo.
Asante.
Kwani hawa wa miaka 40+ hawafanyi hayo uliyotaja??????Hatuwezi kuongozwa na mtoto wa miaka 30 hata kidogo maana bado akili yake inawaza wanawake na Pombe..
Isijekuwa kila siku Tunasikia Rais kabadili Msichana wake au kanywa kalewa
miaka 30 hajui hata kutunza siri mropokaji mmoja tu,hana hata experience ya kutosha.Mbele ya watu kama Wasira na wahafidhina wengine hoja yako isha expire kabla haijajadiliwa
Wanafnya ila ndio miaka yao inaishia ishia ya kufanya..Kwani hawa wa miaka 40+ hawafanyi hayo uliyotaja??????