Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Shoprite tunayempa upendeleo ni nani? Mwekezaji mzawa au wa nje?Dangote alikuja na mkwara eti atauza cement 5000, tulichomfanya abajuta kuwekeza Tanzania.
Kila week kuna roli linaanguka na kuwa scraper, cement yake haina tena soko wala hajawahi kuuza bei chini na wenzake.
Huyo Nakumat alitaka kushindana na Shoprite, tulichomfanya hatasahau.
Sisi ni nani?
Ku klax klan
Saivi nasikia imefika 3/4 wanatakiwa kwenda clinic ya clinic ya afya ya akiliWanasema 1 ya 4 ya watano ni wagonjwa wa akili
Hoja zako nyingi umejitungia tu Ila baadhi ya majibu yako haya hapaHoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?
3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!
6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
nakumatt kumbe ndo ulimfanyia figisu? ndo naskia leoDangote alikuja na mkwara eti atauza cement 5000, tulichomfanya abajuta kuwekeza Tanzania.
Kila week kuna roli linaanguka na kuwa scraper, cement yake haina tena soko wala hajawahi kuuza bei chini na wenzake.
Huyo Nakumat alitaka kushindana na Shoprite, tulichomfanya hatasahau.
Sisi ni nani?
Ku klax klan
Nimejitungua ipi kati ya hizo 7?! Zijibu, moja baada ya nyingine..Hoja zako nyingi umejitungia tu Ila baadhi ya majibu yako haya hapa
Nenda kiwanda cha nyati halafu ukitoka nenda kiwanda cha dangote utapata jibuWa
Huku nilipo nyati ndio kila kitu
Yaani mtanzania anajisifia kwa kurudisha nyuma maendeleo ya nchi yake , kwakweli wacha tusaidiwe tu kwa kila kitu maana tuwajinga sana sisiDangote alikuja na mkwara eti atauza cement 5000, tulichomfanya abajuta kuwekeza Tanzania.
Kila week kuna roli linaanguka na kuwa scraper, cement yake haina tena soko wala hajawahi kuuza bei chini na wenzake.
Huyo Nakumat alitaka kushindana na Shoprite, tulichomfanya hatasahau.
Sisi ni nani?
Ku klax klan
Hiyo mitambo itaendeshwa na akina nani?Mwarabu hatogeki.
Mwarabu hatishiki.
Mwarabu haibiwi maana kila kitu pale bandarini kitafanywa na mitambao au roboti.
duuh kumekucha
Na mabinti wadogo tu tena wachache wa kiarabuHiyo mitambo itaendeshwa na akina nani?
Sawa BashiteNa mabinti wadogo tu tena wachache wa kiarabu