Mkilazimisha kumleta Mwarabu bandarini tutamfanyia hujuma kana tulivyomfanyia Dangote na Nakumat

Sisi Wabongo tutaishia kupiga porojo kwenye vijiwe vya kidijitali, laiti kama tungekuwa watu wa vitendo CCM ambaye ni adui namba 1 asingekuwa madarakani sasa...
 
Huyo Shoprite tunayempa upendeleo ni nani? Mwekezaji mzawa au wa nje?
 
Hoja zako nyingi umejitungia tu Ila baadhi ya majibu yako haya hapa
 

Attachments

  • WAZIRI MBARAWA - 'BANDARI ya ZANZIBAR WALISHASAINI MKATABA SIKU NYINGI', AWA.mp4
    18.7 MB
nakumatt kumbe ndo ulimfanyia figisu? ndo naskia leo
 
Yaani mtanzania anajisifia kwa kurudisha nyuma maendeleo ya nchi yake , kwakweli wacha tusaidiwe tu kwa kila kitu maana tuwajinga sana sisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…