Mkimpenda mume wa watu mnafanya nini?

Wanaenda wanarushiwa juju maisha yao yanakwisha wana kuwa mafala

acheni wizi
 
Unamwomba mungu asikutie majaribuni. Huwa tunapigana na hisia zetu. Huwezi kujizuia kupenda, ila unaweza zuia kufanya kile hisia zako zinakutuma kufanya.
 
Reactions: Kbd

well said doctorz.
 
unamfata mkewe, unamueleza kuwa umemzimikia mumewe.....

then muombe mke ruhusa ya kuomba 'urafiki' na mume wake.

Akishakuruhusu kajilipue kwa huyo mwanaume.

unataka huyo dada akong'otwe na mwiko wa kupikia.
 
Mume wa mtu si wakumpenda kabisa nikujitia BP yakujitakia....

hao wasio waume za watu wako wapi? si kila siku mnasema humu ndani kuwa wengi wao ni wanaume suruali tu.
Kwako mtoa mada: ukiweza kumnasa we cheat naye,no problem,mradi uwe mwangalifu, condoms,usiri etc.
 
Kwa wakristu kuna sala "baba yetu uliye mbinguni .... Utuepushe katika vishawishi ...." Hii ndio unatakiwa uisali sana katika hali kama hiyo. Nafikiri katika dini nyingine kuna maombi kama hayo
 
Lakini hizi nyumba ndogo na Daddy vinatoka wapi?
 
BJ,huko nyuma inaelekea ushawahi kutendwa!
 
jamani mbona hamchangii hii mada muhimu?
Mainfii mko wapi ?
 
Learn how to lead ur heart, don't just follow it kama kondoo, utaishia kichinjioni!
 
Unamwomba mungu asikutie majaribuni. Huwa tunapigana na hisia zetu. Huwezi kujizuia kupenda, ila unaweza zuia kufanya kile hisia zako zinakutuma kufanya.

Mama muinjilisti umemaliza kitu....😛oa
 

:a s 11:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…