Hivi karibuni nilimsikia yule mchambuzi nguli nchini mkinga akihojiwa kwenye tv. Mkinga aliwakosoa wale wanaosema kuwa katiba inayopendekezwa ipingwe kwasababu hakuna nakala za kutosha. Mkinga alisema kuwa watanzania hawana utamaduni wa kusoma na ndiyo maana hata ile katiba ya mwaka 1977 imekaa muda wote na bado asilimia kubwa watu hawajaisoma na hawaijui.
Hoja hii ni kweli kabisa watanzania hatuendi kusoma na kuna mda kuna watu wanakesha mitandaoni katiba ipo lakini nao eti wanalalamika kuwa hawajaisoma. Tubadilike!
Hoja hii ni kweli kabisa watanzania hatuendi kusoma na kuna mda kuna watu wanakesha mitandaoni katiba ipo lakini nao eti wanalalamika kuwa hawajaisoma. Tubadilike!