Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
"Katiba hii imezingatia na kutambua makundi mbalimbali na mimi sina haya kuwaeleza kuwa tuipitishe kwani licha ya upungufu ilionao, haifikii hii ya sasa. Tusipoipitisha tutaendelea kuitumia hii na sidhani kama kuna Rais atakuja na kuanza na mchakato wa Katiba, hivyo hii hii tuipitisheni kama ina upungufu utafanyiwa maboresho kwani Katiba siyo Msahafu au Biblia."
haya siyo maneno yangu,ni maneno ya mh mkuu,ukiwa kama kijana mwenye akili zilizotimia tafakali na hasa hapo kwenye black.tunahaja gani sasa ya kutengeneza kitu kipya chenye mapungufu?rais ajaye atashindwa nini kutupa katiba?
Sasa wewe katibiwe kwanza maana unaonekana umeumia huo mkono umeamua kusumbua na wengine. Vinginevyo lala!