Mkiona mgonjwa wenu hawezi kupona, mrudisheni akafie nyumbani. Akipelekwa tu Mortuary mtadaiwa mamilioni msiyoyaweza

Mkiona mgonjwa wenu hawezi kupona, mrudisheni akafie nyumbani. Akipelekwa tu Mortuary mtadaiwa mamilioni msiyoyaweza

Nchi hii imekuwa ya hovyo sana, huduma za afya na matibabu zimekuwa mbovu na duni kabisa.

Kila siku tunasikia sehemu mbalimbali watu wakifa kwa uzembe wa madaktari na manesi.

Mbaya zaidi mgonjwa akifa haraka haraka anakimbizwa mortuary ambako kama hamna mamilioni kadhaa, ndugu yenu atazìkwa na halmashauri, mazishi yasiyo na heshima wala staha wala stara.

Wito wangu kwa Watanzania wenzangu, mkiona mgonjwa wenu hana dalili za kupona hospitali, mrudisheni nyumbani kuepuka kadhia ya kudaiwa mamilioni mengi wakati wa kuchukua mwili wake.
Utajuaje iwapo mgonjwa hawezi kupona?
 
Wacha sheria zifuatwe kwan hospital ni kituo cha kutoa misaada ifike hatua kla mtu atambue majukumu yake
Unapoenda hospital ni lazma uwe na pesa ya matibabu uwo ndo ukwel
Na ndo maana kla sku tunaambiwa tutafte pesa uwa wanamaanisha vtu km ivi sasa tutafte pesa kuepukana na adha km izi


Lakin pia unaweza kuta uyo mnaemtetea ni CCM orginal af nyie mnakaa mnamtetea mtu anaetafta mattzo wwnyewe
 
CCM nukiiangalia nasikia kuchafukwa. Ghana maiti inatunzwa hata mwaka mzima na kuna private mortuary sijui ingekuwa hapa sasa ingekuwaje. Mortuary zenyewe wanagaragaza maiti kwenye sakafu
 
Back
Top Bottom