Mnajiita dstv wakati hata 24 simu yenu ya customer care haipatikani.............unalalamika sijui ooh watu wanapiga sana simu customer care ila na nyinyi ni wasumbufu pia........kunipigia simu kunikumbusha kama kifurushi kina isha kwani sijui?? Au kira kikiisha huwa mnalipia ninyi?? Aibu.........bado utasikia panda tukupandishe ..........sitaki jamani........nikilipia mambo ndio uwezo wangu huko kuwashwa huwa mnakutoa wapi kuwaambia lipia cha juu yake tukupe zaidi.......haya wale wa premier huwa mnawapandisha na nini wakilipia ?? Ngazi au lift??ooh kupokea simu 150 kazi .........muamala umesoma app yenu imeukata sasa kwanini tena nipige kwenu na tv haionyeshi??.............nyie ni wapigaji tu hamna lolote........mnarudia vipindi na movie mpaka mnatia kinyaa..........hizo mnet,room movie,na nyinginezo mnarudia movie mpaka mwanangu anakremisha maneno badirikeni hacheni mambo yenu.........