Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Moderator naomba Uzi huu uache ujitegemee tafadhali
Wadau hamjamboni nyote?
Ni vema tuelezane ukweli kuwa huwezi kuwa Mkiristo wa kweli uliyempokea Yesu Kristo kuwa Bwana na mwokozi wako bila kutahiriwa
Makasisi, wachungaji na maaskofu tuwahimize waamini watahiriwe nyama za magovi Yao kabla ya kubatizwa au kupokea ekaristi takatifu
Ni wapagani na makafiri pekee ndiyo wasiofanyiwa tohara
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
Mwanzo 17:12 2 Mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila mwanamume katika vizazi vyenu, mzaliwa nyumbani, na mnunuliwa kwa fedha, kila mgeni asiyekuwa wa uzao wako.
Mwanzo 17:13 3 Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa kwa fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele.
Wadau hamjamboni nyote?
Ni vema tuelezane ukweli kuwa huwezi kuwa Mkiristo wa kweli uliyempokea Yesu Kristo kuwa Bwana na mwokozi wako bila kutahiriwa
Makasisi, wachungaji na maaskofu tuwahimize waamini watahiriwe nyama za magovi Yao kabla ya kubatizwa au kupokea ekaristi takatifu
Ni wapagani na makafiri pekee ndiyo wasiofanyiwa tohara
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
Mwanzo 17:12 2 Mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila mwanamume katika vizazi vyenu, mzaliwa nyumbani, na mnunuliwa kwa fedha, kila mgeni asiyekuwa wa uzao wako.
Mwanzo 17:13 3 Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa kwa fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele.