G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Kwani leo kumetokea nini! Mbona mnaleta habari ambazo hazieweki!!Mnapoleta porojo zenu, msisahau kusema pia ni jezi iliyowahi kuweka rekodi, yaani jezi ambayo imevaliwa mara 2 na ikaiingizia timu Billion 5 point, hapo Simba ana hasara gani? Mods don't mix this thread, inabidi iwafikie walengwa nzima nzima hivi.View attachment 2780080View attachment 2780084
Ongeza bidii kwenye kilimo ufanikiwe uje huku uache kuishi na tumbiliKama hautajali mtoa mada, ingependeza iwapo utaelezea kwa kirefu kuhusu kinachoendelea hadi Jersey ivaliwe mara 2 sijui imeingiza bilioni 5
Sio wote tunajua unachosimulia
Tuonee huruma sisi tuliopo huku Namanyele ndani ndani
Hahaha..........lakini tukija mjini na hela zetu za kilimo huwa mnaomba sana ofa za beer 🍺Ongeza bidii kwenye kilimo ufanikiwe uje huku uache kuishi na tumbili
Hahahaha mnakuwa na jeuri nyinyi mkisha uza mazaoHahaha..........lakini tukija mjini na hela zetu za kilimo huwa mnaomba sana ofa za beer 🍺
Mjini nitakuja tu mkuu, ngoja tumalizie shughuli za kilimo
Hahaha............inakuwa viwanja vyote vyetu, kuanzia kidimbwi, kitambaa, boardroom n.k ni kumwambia mhudumu yule mupe yule mruke 😅😅Hahahaha mnakuwa na jeuri nyinyi mkisha uza mazao
Nakusoma kaka dar bila hela ni kataviHahaha............inakuwa viwanja vyote vyetu, kuanzia kidimbwi, kitambaa, boardroom n.k ni kumwambia mhudumu yule mupe yule mruke 😅😅
Sahihi kabisaNakusoma kaka dar bila hela ni katavi
Sio sifa mkuu, mechi mbili unapata bil1+ hii ni zaidi ya biasharaAyubu fc wanapenda sifa[emoji1][emoji1]
Hadi ume comment utakuwa umeelewaKwani leo kumetokea nini! Mbona mnaleta habari ambazo hazieweki!!
Inabidi ufanye utafiti ujue hiyo rekodi mkuuKama hautajali mtoa mada, ingependeza iwapo utaelezea kwa kirefu kuhusu kinachoendelea hadi Jersey ivaliwe mara 2 sijui imeingiza bilioni 5
Sio wote tunajua unachosimulia
Tuonee huruma sisi tuliopo huku Namanyele ndani ndani
SawaInabidi ufanye utafiti ujue hiyo rekodi mkuu
Zitauzwa kwa mashabiki?Mnapoleta porojo zenu, msisahau kusema pia ni jezi iliyowahi kuweka rekodi, yaani jezi ambayo imevaliwa mara 2 na ikaiingizia timu Billion 5 point, hapo Simba ana hasara gani?
View attachment 2780080View attachment 2780084
Kabisa Mkuu. Sisi wa Wampembe mashambani huku hatujui kinachoendelea huko Daaar!Kama hautajali mtoa mada, ingependeza iwapo utaelezea kwa kirefu kuhusu kinachoendelea hadi Jersey ivaliwe mara 2 sijui imeingiza bilioni 5
Sio wote tunajua unachosimulia
Tuonee huruma sisi tuliopo huku Namanyele ndani ndani