Shafii atumikie adhabu ya kusambaza habari za uongo ache janja janja.Katika siku ambayo Dauda ameongea maneno ya hekima na busara basi ni jana YANGA kuna haja kubwa ya kujifunga kutoka kwa watani zenu
"Kuna wakati wengine wakae na Viongozi wa Simba mnajadiliana tu kuwa imewezekana vipi kuwa na mwendelezo kwa misimu mitano, ipi siri! Nanyi mnajifunza
Real Madrid na Barcelona wamesaini mkataba wao wa kutoingiliana sehemu baadhi za usajili
Mkishindwa kushindana, MUUNGANE
[emoji1488] Shaffih Dauda [emoji1488]View attachment 2149642
ona hii kisindaShafii atumikie adhabu ya kusambaza habari za uongo ache janja janja.
Sawa Serunkuma.ona hii kisinda
Uzi wa hovyo kuliko zote kwa mwaka huu
Mmepigwa gape la point 8 kwenye ligi, mmezidiwa kila angel ya ubora kitakwimu bado mnabweka kama mbwa aliyekoswa kugongwa na gari barabarani, mmeshinda ushindi wa Rose muhando dhidi ya berkane mnajiona mmemaliza kila kitu duniani maneno meeengi utadhani mmechukua kombe ni ayawani pekee ambae anaweza kufungua mdomo na kuifananisha yanga ya msimu huu na simba kiubora, ukibisha tuletee takwimu ndo zitazungumza nani ni bora zaidi ya mwenzake ayo mengine ni maneno ya wakosaji wasiojielewaKatika siku ambayo Dauda ameongea maneno ya hekima na busara basi ni jana YANGA kuna haja kubwa ya kujifunga kutoka kwa watani zenu
"Kuna wakati wengine wakae na Viongozi wa Simba mnajadiliana tu kuwa imewezekana vipi kuwa na mwendelezo kwa misimu mitano, ipi siri! Nanyi mnajifunza
Real Madrid na Barcelona wamesaini mkataba wao wa kutoingiliana sehemu baadhi za usajili
Mkishindwa kushindana, MUUNGANE
[emoji1488] Shaffih Dauda [emoji1488]View attachment 2149642
kisinda nyingne hii nye nye nyeUzi wa hovyo kuliko zote kwa mwaka huu
ona hii kisinda inavyopovukaMmepigwa gape la point 8 kwenye ligi, mmezidiwa kila angel ya ubora kitakwimu bado mnabweka kama mbwa aliyekoswa kugongwa na gari barabarani, mmeshinda ushindi wa Rose muhando dhidi ya berkane mnajiona mmemaliza kila kitu duniani maneno meeengi utadhani mmechukua kombe ni ayawani pekee ambae anaweza kufungua mdomo na kuifananisha yanga ya msimu huu na simba kiubora, ukibisha tuletee takwimu ndo zitazungumza nani ni bora zaidi ya mwenzake ayo mengine ni maneno ya wakosaji wasiojielewa
Nilijua tu,Uzi wa hovyo kuliko zote kwa mwaka huu