Mikwara bubuNa kuna ncbi moja Afrika Mashariki huwa inajifanya ina 'Kiherehere' sana cha kupeleka Askari wake Congo DR na pia huwa 'Kisirisiri' inawasaidoa 'Waasi' wa 'Kihutu' kutoka nchini Burundi 'Kutesa' na 'Kuua' Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) naionya wasithubutu kupeleka Askari wao huko kwani 'Watakufa' kama 'Kuku' na Kujuta kwani kwa saaa hakuna Majeshi imara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ya Rwanda ( RDF ) kwa Kagame na Uganda ( UPDF ) kwa Museveni.
Ile birtday Ya Muhoozi muliyotumia pesa za waganda kulia bata na starehe ulikuwepo?Najua Sindano imeshaingia Mfupani tayari.
Makimba matupuuu ,Na kuna ncbi moja Afrika Mashariki huwa inajifanya ina 'Kiherehere' sana cha kupeleka Askari wake Congo DR na pia huwa 'Kisirisiri' inawasaidoa 'Waasi' wa 'Kihutu' kutoka nchini Burundi 'Kutesa' na 'Kuua' Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) naionya wasithubutu kupeleka Askari wao huko kwani 'Watakufa' kama 'Kuku' na Kujuta kwani kwa saaa hakuna Majeshi imara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ya Rwanda ( RDF ) kwa Kagame na Uganda ( UPDF ) kwa Museveni.
Jipendekezeni kuwapa Msaada mkafe kama Kuku.Makimba matupuuu ,
Wa DRC walijifanya kudharau juhudi za UN na vikosi vyake hasa vya Tz, sasa iv naona M23 wame gain momentum FRDC hawana budi kuomba msaada
Unauliza Kipuowe Msamvu Bus Terminal?Ile birtday Ya Muhoozi muliyotumia pesa za waganda kulia bata na starehe ulikuwepo?
Wewe siku hizi umeshakuwa Mtani wangu na napenda mno unavyonipiga Madongo na kuna muda huwa yananiingia na nabaki Kuvunjika tu Mbavu zangu. Na nilujua tu kuwa utakuja katika huu Uzi wangu niliouanzisha Makusudi kabisa na Kimkakati zaidi.Daktari wa mirembe aliye mruhusu GENTA awe huru akamatwe haraka..
Mkuu hiyo ( hii ) Avatar yako inanikumbusha mbali na isitoshe nampenda mno huyu ( huyo ) Pan Africanist aliyeuwawa Kikatili na CIA huku Wabelgiji na Hayati Mobutu na Kasavubu wakihusika 100% kwa Kuuwawa Kwake.Vimbwa koko ndio huwa vinabweka sana.
Wazungu wanaita defences mechanism.
Mikwala mingi sana.
Mbona Safari hii yule Mswahili wenu wa Bagamoyo na Chalinze hamshawishi Mama awapeleke Jamaa zenu Congo DR kama alivyofanya Yeye ili Wakafe vizuri?Mikwara bubu
Muda ukifika utaona. Siai hatuna maneno meengi.Mbona Safari hii yule Mswahili wenu wa Bagamoyo na Chalinze hamshawishi Mama awapeleke Jamaa zenu Congo DR kama alivyofanya Yeye ili Wakafe vizuri?
Wwmekalia sebene na vipodozi tu. wafaransa walishawadumaza vichwa.Wakongo Ni wapumbafu San kanch kadgo kanawanyima usingizi
Acheni kujichubua nendeni mkapige yule dogo
Cc: Fiston Mayele, Shaaban Djuma, Yannick Bangala, Jesus Ducapel Moloko na Chico Ushindi ambao ndiyo Wakongo wanaoongoza kwa 'Kujichubua' Tanzania na Afrika nzima.Wakongo Ni wapumbafu San kanch kadgo kanawanyima usingizi
Acheni kujichubua nendeni mkapige yule dogo
Fanyeni kama mnajikuna.. kama hamjaichora chini mazafantah..[emoji23][emoji23][emoji23]Na kuna ncbi moja Afrika Mashariki huwa inajifanya ina 'Kiherehere' sana cha kupeleka Askari wake Congo DR na pia huwa 'Kisirisiri' inawasaidoa 'Waasi' wa 'Kihutu' kutoka nchini Burundi 'Kutesa' na 'Kuua' Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) naionya wasithubutu kupeleka Askari wao huko kwani 'Watakufa' kama 'Kuku' na Kujuta kwani kwa saaa hakuna Majeshi imara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ya Rwanda ( RDF ) kwa Kagame na Uganda ( UPDF ) kwa Museveni.
Mwezi Mchanga kama kawaida yako.Na kuna ncbi moja Afrika Mashariki huwa inajifanya ina 'Kiherehere' sana cha kupeleka Askari wake Congo DR na pia huwa 'Kisirisiri' inawasaidoa 'Waasi' wa 'Kihutu' kutoka nchini Burundi 'Kutesa' na 'Kuua' Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) naionya wasithubutu kupeleka Askari wao huko kwani 'Watakufa' kama 'Kuku' na Kujuta kwani kwa saaa hakuna Majeshi imara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ya Rwanda ( RDF ) kwa Kagame na Uganda ( UPDF ) kwa Museveni.
Kati ya Tanzania na Rwanda nani anamuhitaji mwenzie zaidi?Yaani wa-TZ wakisikia tuu jina la Kagame wanakosa amani kabisa, kama kweli mna uwezo fanyeni kama walivyo fanya russia kwa ukraine, otherwise endeleeni kuumia moyo wakati mwamba na nchi yake wanatoboa, kaeni mkao wa kuliwa, na nyie siku yenu ipo,