Mkitaka Kagame na Museveni 'wasiishambulie' Congo DR na nyie acheni 'Unafiki' na kuwasaidia 'Waasi' wa 'Kihutu' na Burundi

Mkitaka Kagame na Museveni 'wasiishambulie' Congo DR na nyie acheni 'Unafiki' na kuwasaidia 'Waasi' wa 'Kihutu' na Burundi

Na kuna ncbi moja Afrika Mashariki huwa inajifanya ina 'Kiherehere' sana cha kupeleka Askari wake Congo DR na pia huwa 'Kisirisiri' inawasaidoa 'Waasi' wa 'Kihutu' kutoka nchini Burundi 'Kutesa' na 'Kuua' Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) naionya wasithubutu kupeleka Askari wao huko kwani 'Watakufa' kama 'Kuku' na Kujuta kwani kwa saaa hakuna Majeshi imara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ya Rwanda ( RDF ) kwa Kagame na Uganda ( UPDF ) kwa Museveni.
Mikwara bubu
 
Na kuna ncbi moja Afrika Mashariki huwa inajifanya ina 'Kiherehere' sana cha kupeleka Askari wake Congo DR na pia huwa 'Kisirisiri' inawasaidoa 'Waasi' wa 'Kihutu' kutoka nchini Burundi 'Kutesa' na 'Kuua' Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) naionya wasithubutu kupeleka Askari wao huko kwani 'Watakufa' kama 'Kuku' na Kujuta kwani kwa saaa hakuna Majeshi imara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ya Rwanda ( RDF ) kwa Kagame na Uganda ( UPDF ) kwa Museveni.
Makimba matupuuu ,

Wa DRC walijifanya kudharau juhudi za UN na vikosi vyake hasa vya Tz, sasa iv naona M23 wame gain momentum FRDC hawana budi kuomba msaada
 
Makimba matupuuu ,

Wa DRC walijifanya kudharau juhudi za UN na vikosi vyake hasa vya Tz, sasa iv naona M23 wame gain momentum FRDC hawana budi kuomba msaada
Jipendekezeni kuwapa Msaada mkafe kama Kuku.
 
Daktari wa mirembe aliye mruhusu GENTA awe huru akamatwe haraka..
Wewe siku hizi umeshakuwa Mtani wangu na napenda mno unavyonipiga Madongo na kuna muda huwa yananiingia na nabaki Kuvunjika tu Mbavu zangu. Na nilujua tu kuwa utakuja katika huu Uzi wangu niliouanzisha Makusudi kabisa na Kimkakati zaidi.
 
Vimbwa koko ndio huwa vinabweka sana.

Wazungu wanaita defences mechanism.

Mikwala mingi sana.
Mkuu hiyo ( hii ) Avatar yako inanikumbusha mbali na isitoshe nampenda mno huyu ( huyo ) Pan Africanist aliyeuwawa Kikatili na CIA huku Wabelgiji na Hayati Mobutu na Kasavubu wakihusika 100% kwa Kuuwawa Kwake.
 
Wakongo Ni wapumbafu San kanch kadgo kanawanyima usingizi

Acheni kujichubua nendeni mkapige yule dogo
Cc: Fiston Mayele, Shaaban Djuma, Yannick Bangala, Jesus Ducapel Moloko na Chico Ushindi ambao ndiyo Wakongo wanaoongoza kwa 'Kujichubua' Tanzania na Afrika nzima.
 
Na kuna ncbi moja Afrika Mashariki huwa inajifanya ina 'Kiherehere' sana cha kupeleka Askari wake Congo DR na pia huwa 'Kisirisiri' inawasaidoa 'Waasi' wa 'Kihutu' kutoka nchini Burundi 'Kutesa' na 'Kuua' Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) naionya wasithubutu kupeleka Askari wao huko kwani 'Watakufa' kama 'Kuku' na Kujuta kwani kwa saaa hakuna Majeshi imara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ya Rwanda ( RDF ) kwa Kagame na Uganda ( UPDF ) kwa Museveni.
Fanyeni kama mnajikuna.. kama hamjaichora chini mazafantah..[emoji23][emoji23][emoji23]

Huo soldier anapigwa tu na manzi yangu haitaji mwanaume yani kumnyonyoa
images.jpg
 
Yaani wa-TZ wakisikia tuu jina la Kagame wanakosa amani kabisa, kama kweli mna uwezo fanyeni kama walivyo fanya russia kwa ukraine, otherwise endeleeni kuumia moyo wakati mwamba na nchi yake wanatoboa, kaeni mkao wa kuliwa, na nyie siku yenu ipo,
 
Na kuna ncbi moja Afrika Mashariki huwa inajifanya ina 'Kiherehere' sana cha kupeleka Askari wake Congo DR na pia huwa 'Kisirisiri' inawasaidoa 'Waasi' wa 'Kihutu' kutoka nchini Burundi 'Kutesa' na 'Kuua' Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) naionya wasithubutu kupeleka Askari wao huko kwani 'Watakufa' kama 'Kuku' na Kujuta kwani kwa saaa hakuna Majeshi imara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ya Rwanda ( RDF ) kwa Kagame na Uganda ( UPDF ) kwa Museveni.
Mwezi Mchanga kama kawaida yako.
Ashakum si matusi wahenga walipata kunena "kwenye maisha jitahidi sana kuficha ujinga wako"
 
Yaani wa-TZ wakisikia tuu jina la Kagame wanakosa amani kabisa, kama kweli mna uwezo fanyeni kama walivyo fanya russia kwa ukraine, otherwise endeleeni kuumia moyo wakati mwamba na nchi yake wanatoboa, kaeni mkao wa kuliwa, na nyie siku yenu ipo,
Kati ya Tanzania na Rwanda nani anamuhitaji mwenzie zaidi?
 
Back
Top Bottom