Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,511
- 5,390
Ngoja tumtafute MAJ GEN MWAKIBOLWA arudi msituni aendelee na mission yake bro tuone uimara wa RDF na UPDFNa kuna ncbi moja Afrika Mashariki huwa inajifanya ina 'Kiherehere' sana cha kupeleka Askari wake Congo DR na pia huwa 'Kisirisiri' inawasaidoa 'Waasi' wa 'Kihutu' kutoka nchini Burundi 'Kutesa' na 'Kuua' Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) naionya wasithubutu kupeleka Askari wao huko kwani 'Watakufa' kama 'Kuku' na Kujuta kwani kwa saaa hakuna Majeshi imara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ya Rwanda ( RDF ) kwa Kagame na Uganda ( UPDF ) kwa Museveni.
Hawa madogo walipokamtwa kule misituni sura zao zilikua poa tu,naona fardc washaanza kuwavimbisha suraFanyeni kama mnajikuna.. kama hamjaichora chini mazafantah..[emoji23][emoji23][emoji23]
Huo soldier anapigwa tu na manzi yangu haitaji mwanaume yani kumnyonyoaView attachment 2250137
yana uimara gani hayo majeshi,yamegawanyika kwa ukabila,wenye pua za bamia wanawadharau wenye pua kama kitako cha baiskeli,vita bil umoja lazima ushindwe tu!! huko UGANDA kwenyewe wanainchi wamemchoka m7 na familia yake,au na wewe ni walewale nini?Na kuna ncbi moja Afrika Mashariki huwa inajifanya ina 'Kiherehere' sana cha kupeleka Askari wake Congo DR na pia huwa 'Kisirisiri' inawasaidoa 'Waasi' wa 'Kihutu' kutoka nchini Burundi 'Kutesa' na 'Kuua' Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) naionya wasithubutu kupeleka Askari wao huko kwani 'Watakufa' kama 'Kuku' na Kujuta kwani kwa saaa hakuna Majeshi imara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ya Rwanda ( RDF ) kwa Kagame na Uganda ( UPDF ) kwa Museveni.
israil ni nchi ndogo sana kijiografia lakini inaogopwa dunia nzimaWakongo Ni wapumbafu San kanch kadgo kanawanyima usingizi
Acheni kujichubua nendeni mkapige yule dogo
Ukiigusa israel umeigusa usa,ukiigusa burundi umeigusa TZ,endeleeni kujiongopea jeshi la rwanda ni jepesi kama karatasiisrail ni nchi ndogo sana kijiografia lakini inaogopwa dunia nzima
Mkuu kagame anaweza tuma majeshi yakaivamia kongo kweli?Hahahaha.
hahahahaha.jeshi ukimaanisha RDF? Wavamie rdc? Kwa nia na lengo gani?Mkuu kagame anaweza tuma majeshi yakaivamia kongo kweli?
Teh teh
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23].. yani walivyo ni kama vile panya waliokamatwa na mtegoHawa madogo walipokamtwa kule misituni sura zao zilikua poa tu,naona fardc washaanza kuwavimbisha sura
Acha kuzunguka kiongozi,ww itaje tu hiyo nchi nasi tuifahamuNa kuna ncbi moja Afrika Mashariki huwa inajifanya ina 'Kiherehere' sana cha kupeleka Askari wake Congo DR na pia huwa 'Kisirisiri' inawasaidoa 'Waasi' wa 'Kihutu' kutoka nchini Burundi 'Kutesa' na 'Kuua' Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) naionya wasithubutu kupeleka Askari wao huko kwani 'Watakufa' kama 'Kuku' na Kujuta kwani kwa saaa hakuna Majeshi imara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ya Rwanda ( RDF ) kwa Kagame na Uganda ( UPDF ) kwa Museveni.
Jana kailalamikia kwann inaibeba Sana Burundi pamoja bado inauwanja bado wanatamani kuchezea kwa mkapa hiyohiyo itakuaAcha kuzunguka kiongozi,ww itaje tu hiyo nchi nasi tuifahamu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Na kuna ncbi moja Afrika Mashariki huwa inajifanya ina 'Kiherehere' sana cha kupeleka Askari wake Congo DR na pia huwa 'Kisirisiri' inawasaidoa 'Waasi' wa 'Kihutu' kutoka nchini Burundi 'Kutesa' na 'Kuua' Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) naionya wasithubutu kupeleka Askari wao huko kwani 'Watakufa' kama 'Kuku' na Kujuta kwani kwa saaa hakuna Majeshi imara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ya Rwanda ( RDF ) kwa Kagame na Uganda ( UPDF ) kwa Museveni.
Kila kitu unajua wewe,pua pua pua pua puaaaaaaaaawNa kuna ncbi moja Afrika Mashariki huwa inajifanya ina 'Kiherehere' sana cha kupeleka Askari wake Congo DR na pia huwa 'Kisirisiri' inawasaidoa 'Waasi' wa 'Kihutu' kutoka nchini Burundi 'Kutesa' na 'Kuua' Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) naionya wasithubutu kupeleka Askari wao huko kwani 'Watakufa' kama 'Kuku' na Kujuta kwani kwa saaa hakuna Majeshi imara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ya Rwanda ( RDF ) kwa Kagame na Uganda ( UPDF ) kwa Museveni.
Jamani eee Proved njooni mumuone intore militia wa kagame ndani ya jamii forum.Na kuna ncbi moja Afrika Mashariki huwa inajifanya ina 'Kiherehere' sana cha kupeleka Askari wake Congo DR na pia huwa 'Kisirisiri' inawasaidoa 'Waasi' wa 'Kihutu' kutoka nchini Burundi 'Kutesa' na 'Kuua' Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) naionya wasithubutu kupeleka Askari wao huko kwani 'Watakufa' kama 'Kuku' na Kujuta kwani kwa saaa hakuna Majeshi imara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ya Rwanda ( RDF ) kwa Kagame na Uganda ( UPDF ) kwa Museveni.
Aliyekuwa anasapoti waasi wa kihutu alikuwa senior kabila , tena kipindi cha second congo war kwa ajili ya kufuza uvamizi wa rwanda ndani ya congo.Na kuna ncbi moja Afrika Mashariki huwa inajifanya ina 'Kiherehere' sana cha kupeleka Askari wake Congo DR na pia huwa 'Kisirisiri' inawasaidoa 'Waasi' wa 'Kihutu' kutoka nchini Burundi 'Kutesa' na 'Kuua' Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) naionya wasithubutu kupeleka Askari wao huko kwani 'Watakufa' kama 'Kuku' na Kujuta kwani kwa saaa hakuna Majeshi imara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama ya Rwanda ( RDF ) kwa Kagame na Uganda ( UPDF ) kwa Museveni.