Poti hujaeleza kwa undani kiini na nini kinataka kupelekea hiyo vita, ila kwa uhalisia wananchi wa DRC ndiyo wanaandamana kushinikiza ugomvi a.k.a vita uanze kati ya DRC na R.
Wananchi wamechoka kuona, kusikia Kagame akihusika kuwaibia mali yao huku akiwaletea fujo wasielewane, wkt huo huo drc ikiwa mikononi mwa Rwanda kipindi cha rais 'Kanambe' aliyepita ambaye ni mnyarwanda.
Tutambue kuna chokochoko kubwa sana kutoka ndani na nje ya serikali ya Kinshasa kuhusu maamuzi ya kuingia au kuacha, japo wananchi wapo tayari kwa vita.
Afrika mashariki haipo tayari kushuhudia hili.