Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Matajiri na wanasiasa wanataka uraia pacha utakao wafaidisha wao na watoto wao tu. Toka uhuru, wao ndiyo wenye uwezo wa kupata passport na kwenda nje kwa urahisi. Watoto wa masikini wamejazwa vikwazo kibao juu ya kutoka nje ya nchi. Yaani vikwazo vilivyopo ni ngumu watoto wa kimasikini kuvishinda.
Kama mnataka urai pacha, na mnasema utatufaidisha wote, basi vikwazo kwenye kutoka nje ya nchi na kupata passport viondolewe. Mtu akija na namba yake ya NIDA na kama 30k apewe passport yake.
Zaidi ya hapo huu uraia pacha utakuwa kwaajili ya wanasiasa, matajiri na uzao wao.
Kama mnataka urai pacha, na mnasema utatufaidisha wote, basi vikwazo kwenye kutoka nje ya nchi na kupata passport viondolewe. Mtu akija na namba yake ya NIDA na kama 30k apewe passport yake.
Zaidi ya hapo huu uraia pacha utakuwa kwaajili ya wanasiasa, matajiri na uzao wao.