Mkiwa mbele za watu anakua baby kweli kweli ila mkiwa chumbani hataki hata kugusana

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Mbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.

Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.

Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? πŸ’
 
Unaogopa kumegwa?
 
Umesema uko wapi mheshimiwa?

Na leo yupo serious? Nikupigie?
 
Huku ndo kunakufaa sasa, kule kwenye ssiasa achana nako πŸ˜„πŸ˜„.
 
Ndio hvo kuna wengine wakiwa mbali ndio mapenzi yanapamba moto kila saa simu za i miss yuu, ila wakisha karibiana mapenzi yanapotea...

Ukiona hivo ujue kuna namna mmeingiliwa na mgeni, kama unaimani Omba au unaweza kwenda kuombewa kwa mtumishi unae mwamini..
 

Sasa why asiende kubakia Kwa huyo Mgeni
 
Hiyo ndio ndoa mkuu,wanashindwaga hata kuigiza tu ili mambo yaende...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…