Mkiwa mbele za watu anakua baby kweli kweli ila mkiwa chumbani hataki hata kugusana

Mkiwa mbele za watu anakua baby kweli kweli ila mkiwa chumbani hataki hata kugusana

Kawaida,tunaishi ili siku zisogee ila ndoa zilishakufa kitambo
 
Mbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.

Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.

Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? 🐒
mtaani Wanawake wanateswa na Ndoa...Ila JF ni tofauti kabisa wana ndio wanapelekeshwa
 
Mzoee tu, wengi wapo hivyo wanapenda attention za watu wengi..
 
Mbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.

Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.

Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? 🐒
Jipe Raha kijana wangu.

Ndio mana kukawa na kinywaji kinaitwa POMBE kiburidosho cha akili.

Lakini ukizidisha ni madhara Kwa afya yako.
 
Anachotaka ni ile heshima inayoitoa jamii kwa wanandoa basi. Ongea nae kama vipi muwe na ndoa ya picha zikiisha kila mtu akafanye lake.
 
Huyo Tlaatlaah ndo anaongoza kuandika pumba zaidi kule kwenye jukwaa la siasa
kuwa na heshima kidogo ikiwa umefikia ukomo na kiwango chako cha mwisho cha mawazo mapya na fikra mbadala..

huo ni umbea wa wenye akili finyu wa uswahilini kujadili watu..

Na uache ushirikina gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom