Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa simuachane tuKawaida,tunaishi ili siku zisogee ila ndoa zilishakufa kitambo
mtaani Wanawake wanateswa na Ndoa...Ila JF ni tofauti kabisa wana ndio wanapelekeshwaMbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.
Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.
Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? 🐒
Jipe Raha kijana wangu.Mbele za watu mnakua ni very close, very beneti kama mapacha wa kike na kiume, hadi watu wana watamani.
Mkifika nyumbani na mkiwa wawili sasa chumbani dah! Mambo yanabadilika, ile seriousness utafikiri mawakala wa vyama ya siasa kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura.
Ile closeness inapotea, kule kuitana baby wala darling kama ilivyokua mbele za watu sijui huwa vinapoteleaga wapi ndugu zangu, na ndo kwanza watoto wawili tu? 🐒
Mnakeep status tu,kwakweli kazi kuishi na mtu mzimaSasa simuachane tu
kuwa na heshima kidogo ikiwa umefikia ukomo na kiwango chako cha mwisho cha mawazo mapya na fikra mbadala..Huyo Tlaatlaah ndo anaongoza kuandika pumba zaidi kule kwenye jukwaa la siasa
Sijakuelewa. Uko nje ya madaSo ww ikitokea umepata Ajari wakakata kifanyia kazi means mke wako asepe zake