LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Sio kwamba najisifia la! hasha! Kuna wakati huwa natamani hata kaka yangu au dada yangu au ndugu wengine wa karibu waone au wasome nilichokiweka mtandaoni lakini inakuwa ngumu.
Katika familia yangu baba ana wanawake wa nne hivo watoto jumla tulio hai tupo 27, mimi ni wa 5 upande wa mama yangu katika watoto 8 na ndo mimi pekee yangu kwa familia yetu ninaye jua hata kutumia JF.
Lakini sababu inayochangia hawa ndugu wengine kuwa hivyo labda pia maisha ya kijijini kwa saana, ukiangalia pia mambo ya internet vijijini ni taabu japo si mimi pekee niliyetembea mjini.
Katika familia yangu baba ana wanawake wa nne hivo watoto jumla tulio hai tupo 27, mimi ni wa 5 upande wa mama yangu katika watoto 8 na ndo mimi pekee yangu kwa familia yetu ninaye jua hata kutumia JF.
Lakini sababu inayochangia hawa ndugu wengine kuwa hivyo labda pia maisha ya kijijini kwa saana, ukiangalia pia mambo ya internet vijijini ni taabu japo si mimi pekee niliyetembea mjini.