Mkoa gani hata ukipewa nyumba na gari hauwezi kuishi?

Tusiishi kwa kukariri watanzania wenzangu..Japokuwa mimi siyo mwenyeji wa Dodoma lakini nimejifunza kitu kwamba kila mkoa una fursa za ke bila kujali hali yake ya hewa...Mfano Dodoma watanzania wengi hawajui fursa nzuli zilizopo,,Dodoma ni mkoa ambao unaweza kulima kilimo chochote bila kutumia mbolea...Mahindi yanayolimwa Dodoma yanatoa unga mzuri sana maana hayatumii mbolea..Dodoma kunalimwa Alizeti,Zabubu,Karanga,Mihogo,Ulezi,Vitunguu,Nyanya,Mtama aina zote mweupe mpaka mwekundu,..Dodoma kuna ufugaji wa ng'ombe,mbuzi wanaozaa mpaka pacha 2,3 mapaka 4,Kuku wa kienyeji .....Kwa taarifa yako zabibu nizao pekee unaloweza pata mpaka shs milioni 9 kwa ekari sasa kinachofanya ushindwe kuishi Dodoma ni nini kama sio uvivu wako
 
We hujaona huu udhi kama una dharau?

So 900k ni pesa kubwa kiivyo?

Nimechukulia boda as general mtu anadharau unamuonesha dharau pia
Mkuu 900k ni pesa ndogo kwa mwezi?? Kwa mtu anayefanya kazi ya bodaboda?? Hivi umesahau kuna watumishi take home yao haifiki 500k??
 
Lindi jau kweli yani😅
 
Vaa barakoa mkuu
 
Mikoa yote iso na bichi siwezi ishi kwa hiari yangu.
 
Duh unaogopa Wamwera
Kuna mshikaji wangu huko ndio kwao,alienda huko mwaka huu kwenye mwezi wa 6 na bado yupo huko ila kila nikiongea nae ananiambia babu hio mikoa/vijiji vya kwenu mna raha sana aisee,
 
Kanda ya kati yote, magharibi yote (rukwa, katavi, tabora n.a. kigoma) Mara, kagera tupa mbali kbsa
 
Mimi sijaona. Mikoa yote ya Tanzania Bara na Zanzibar naweza ishi comfortable kabisa. Maisha yapo
 
Kigoma sijawahi kufika ila hunipeleki!
Kwakuwa huajawahi fika una haki ya kisema hivyo..hata mimi kabla sijafika nilikua na mtazamo kama wako..best place to live ina harmony.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sijui kutofautisha kati ya net na gross ila nimekuambia mwisho wa mwezi kama hivi salio lazima lisome 900k sasa tofautisha kama ni gross au net.
Vilevile hata kama kazi yako ni kubwa kiasi gani usijaribu kudharau kazi ya mtu wapo watu wanafanya kazi for only150k per month lakini wanamiliki vitu ambavyo mtu anaepokea 300k/month hana. Hii social media huwa inatuwahadaa sana mpaka tunajisahau muda huo ukitoka online unakuta matatizo yako yamejipanga unashindwa hata uanzie wapi wapo watu humu hana uhakika wa kupata 100k kwa mwezi lakini huyo mtu ukimkuta anavyoidharau 900k humu JF utabaki unashangaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…