Cleverman324
JF-Expert Member
- Nov 17, 2018
- 389
- 631
Waswahili watu wa hovyohovyo sanaMoro itakufaa, ila u snitch ni mwingi
Msata Kuna maji ya kutosha??Nakushauri Tanga ila nje ya mji kabisa, Mbweni, Korogwe ndani ndani au Msata ni poa
Mto Ruvu umepita pale, kama una pump basi mambo yanaendaMsata Kuna maji ya kutosha??
snitching kila mahali kakaMoro itakufaa, ila u snitch ni mwingi
wengine watauliza kwanini wewe haupo uko ....jibu ni moja bado sina mtajinenda mbeya,mbarali kata ya igurusi au kapunga
kuna fursa nyingi sana kule huwa nashauri sana watu waende kule maana nimeona mabroo kibao wakitoboa kule
lakini mindeset ya muafrica atazania kwakuwa mimi kule ni nyumbani basi nakupigia promo sio kweli ni vile naona watu wakifanikiwa
Natamani eneo ambalo lipo karibu na soko ambalo ni darnenda mbeya,mbarali kata ya igurusi au kapunga
kuna fursa nyingi sana kule huwa nashauri sana watu waende kule maana nimeona mabroo kibao wakitoboa kule
lakini mindeset ya muafrica atazania kwakuwa mimi kule ni nyumbani basi nakupigia promo sio kweli ni vile naona watu wakifanikiwa
na suggest morogoroNatamani eneo ambalo lipo karibu na soko ambalo ni dar
wengine watauliza kwanini wewe haupo uko ....jibu ni moja bado sina
Totoz hazina nafasi tenaHiyo miji yote totozi zina mauno ya kutosha mkuu😊
Moro maeneo ganina suggest morogoro
Pole sanaKafie
mbali mkuu😁
kilosa ingawa sina taarfa sana kuhusu unaweza ukatafuta taarifa zaidi...ila nimewahi ona humu jf wakiongelea eneo iloMoro maeneo gani