Wana vyerehani huko chiniHao Warembo wanasaidia nini kwenye Tanzania ya viwanda?
Tatizo wana rangi mbili kama kama amoxilin au ampislinDAR ES SALAAM Huku kuna miksa ya warembo kutoka mikoa yote TZ
Iringa bila shakaBila hofu yoyote mtakua fresh nyote ambaye hayuko poa pole yake
tuambie ni mkoa gani ambao una ongoza kuwa na watoto wakali a.k.a wazuri (warembo)? Hapa Tanzania
Karibuni sana
Tutawatumia kwenye fashion showHao Warembo wanasaidia nini kwenye Tanzania ya viwanda?
Katika suala la warembo tz nzima kuna mkoa unaitwa MANYARA yaani ata warembo wanaotisha apa town chuga ni Wambulu yaani ni wazuri Balaa