Mkoa gani unaoongoza kwa Warembo Tz?..

Mkoa gani unaoongoza kwa Warembo Tz?..

Mwanamke ni bungubungu na mguu...
Kama sura hata mbuzi anayo.
Kwa vigezo hivi Jiji la mawe linavimwana bhana.
Unakuta binti kajaa neema za Allah na mguu unafanana na chupa ya bia.
Lakini singida,Arusha,Kilimanjaro etc unakuta binti anasura nzuri ila shepu imekaa kama upinde.
Vimiguu vyenyewe vyembamba, tako lipo la ushahidi tu argghh!
 
karatu .arumeru masharik .singid a.condoa.unguja.kilwa bagamoyo.
 
Bila hofu yoyote mtakua fresh nyote ambaye hayuko poa pole yake

tuambie ni mkoa gani ambao una ongoza kuwa na watoto wakali a.k.a wazuri (warembo)? Hapa Tanzania
Karibuni sana
Iringa bila shaka
 
Back
Top Bottom