Mkoa gani unaoongoza kwa Warembo Tz?..

Uzuri kamili wa mwanamke ktk muonekano upo ktk sura, kifua, hips, tako na miguu bila kusahau tumbo na kimo!
Kwa sura kilimanjaro, tako na hips kagera, miguu mtwara, kimo singida nk
Kaka singida Manyara na Arusha sifa zote hizo zipo. Usisahahu pia Tanga na Tabora. Maana damu ya mwarabu imeacha machotara huko.
 
Bila hofu yoyote mtakua fresh nyote ambaye hayuko poa pole yake

tuambie ni mkoa gani ambao una ongoza kuwa na watoto wakali a.k.a wazuri (warembo)? Hapa Tanzania
Karibuni sana
Naomba nitoe angalizo hapa wadau waje na statistical data sio mambo ya kukarii hapa au hadithi za kwenye kahawa
 
sisi tunakaa kwenye warembo tuulize nini. Reverse ya swali? Huu ni utoto tuu mkikuwa mtaacha. Hakuna penye nafuu.wazuri na wabaya ni hao hao.
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Tako lipo la ushahidi tu nimecheka kweli tutake radhi Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…